MWAVESO MWACHIRUWA
Member
- Aug 15, 2015
- 15
- 10
Mm nabaki kufurahia hii moviee.
Naongeza sauti na kupunguza,
Acha wafu wazikane, haramu waliyo ila kwenye uchaguzi mkuu ndio inawatokea puani
Ya Magufuli inawanyoosha haswa.
Waache watoane roho. Ni nani anawajali hawa mumiani waso huruma?
Ni kweli mkuu,ila haya mambo yako ya kuku na mwewe kaongelee bandani kwako!Dua la kuku halimpati mwewe
Yes tunanyooshwa billion 6 za mradi wa Chato pekee kwa bajeti zilizopangwa na mtu mmoja jukwaani.Ya Magufuli inawanyoosha haswa.
Wanahama kwa wingi kuwafuata WAUZAJI na WABWIYA ungaWenye CCM ni hao hao Wabeba UNGA GSM
BANGI HIZI......CCM si ya kufa leo kwa aina ya UPINZANI unaongozwa na KINA MBOWE....ukweli upo mioyoni mwenu lakini hamtaki kulikubali hili.......<br />Hivi unakaa chini unafikiria kabsa CCM itakufa kwa kutumia hiki kizazi cha kina LISSU?????..wasiooona umuhimu wa WAFUASI wao???....Hakuna kitu kinachoniuma JUU YA MATAMKO YALIYOKUWA YAKIOTOLEWA NA MBOWE NA LISSU juu ya BEN SAANANE afu mpaka leo hii wapo kimya hakuna mrejesho wowote ambao wameutoa kwenye JAMII ila muda wa kucheka na WEMA wanao na kumtafutia mabodigadi.......NA NYIE MNAENDELEA KUWACHEKEA...mkae mnajua hawa ndio wanaoturudisha nyuma kimaendeleo....maana TUKIWA NA UPINZANI UNAOSIMAMIA KILE WANACHOKITAMKA ADHARANI leo nchi yetu angekuwa inapiga hatua kwa kasi moja ya ajabu sana.......<br />WANA MATUMIZI MABAYA YA RUZUKU kwa kujitengenezea kesi za kila kukicha mahakani mwisho wa siku mtengneza kesi mahakamni kupitia wakili wa CHAMA anapewa 10%.....<br />CHAMA KINASHINDWA HATA KUWA NA OFISI INAYOELEWEKA....still mnatak tuyape eti nchi yatawale.....NI UPUUZI kulipigania hiliMgawanyiko Na Mtifuano Uliomo Ndani Ya Ccm Kwa Sasa Unamuweka Njiapanda Ndg H Polepole. Anajikuta Mpweke Ndani Ya Ccm.
Ccm Kwa Sasa Iko Vipande 3: Ccm Maslahi, Ccm Asilia Na Ccm Mpya (magufuli).
Ccm Asilia Hawamtaki Polepole Kwa Msimamo Wake Aliyo Utoa Hadharani Kuamini Ktk Muungano Wa Serikali 3.
Ccm Maslahi Ni Wengi Sana Hawa. Ni Wale Waliokuwa Ktk Kambi Za Wagombea Urais Ndani Ya Ccm Mwaka 2015. Hawa Wanamuona H Polepole Kuwa Si Msemaji Wao, Bali Ni Msemaji Wa Magufuli. Lkn Pia Zoezi Linaloendelea Ndani Ya Ccm La Kuwafutia Uanachama Wanaccm Maslahi (wasaliti) Haliwapi Raha Kabisa.
Anapo Ibuka Kuisemea Ccm, H. Polepole Anaangaliwa Kama Asiyejua Anachokisema. Ndiyo Maana Kaamua Kuufunga Mdomo Na Kuwa Mtazamaji Tu.
Si Mnakumbuka Mange Alipochoma Kadi Yake Polepole Alitoa Kauli. Kwenye Sakata La Ngada Umemsikia? Kwenye Sakata La Msukuma, Bunge Na Wema Umemsikia?
It is true.Siku zote naukumbuka waraka wa askofu
kakobe kwa mh.rais wa awamu iliyopita
nakumbuka alitoa ushautri wa kutubu.
Vinginevyo Mungu atawachafulia lugha
wenye chama chao kama ilivyokuwa
kwenye mnara wa babeli.
BANGI HIZI......CCM si ya kufa leo kwa aina ya UPINZANI unaongozwa na KINA MBOWE....ukweli upo mioyoni mwenu lakini hamtaki kulikubali hili.......<br />Hivi unakaa chini unafikiria kabsa CCM itakufa kwa kutumia hiki kizazi cha kina LISSU?????..wasiooona umuhimu wa WAFUASI wao???....Hakuna kitu kinachoniuma JUU YA MATAMKO YALIYOKUWA YAKIOTOLEWA NA MBOWE NA LISSU juu ya BEN SAANANE afu mpaka leo hii wapo kimya hakuna mrejesho wowote ambao wameutoa kwenye JAMII ila muda wa kucheka na WEMA wanao na kumtafutia mabodigadi.......NA NYIE MNAENDELEA KUWACHEKEA...mkae mnajua hawa ndio wanaoturudisha nyuma kimaendeleo....maana TUKIWA NA UPINZANI UNAOSIMAMIA KILE WANACHOKITAMKA ADHARANI leo nchi yetu angekuwa inapiga hatua kwa kasi moja ya ajabu sana.......<br />WANA MATUMIZI MABAYA YA RUZUKU kwa kujitengenezea kesi za kila kukicha mahakani mwisho wa siku mtengneza kesi mahakamni kupitia wakili wa CHAMA anapewa 10%.....<br />CHAMA KINASHINDWA HATA KUWA NA OFISI INAYOELEWEKA....still mnatak tuyape eti nchi yatawale.....NI UPUUZI kulipigania hiliIt is true.
Kadri siku zunavyosonga ndivyo mnara wa Babeli unavyozidi kuporomoka........
You are a liar. A poisonous liar.Mgawanyiko Na Mtifuano Uliomo Ndani Ya Ccm Kwa Sasa Unamuweka Njiapanda Ndg H Polepole. Anajikuta Mpweke Ndani Ya Ccm.
Ccm Kwa Sasa Iko Vipande 3: Ccm Maslahi, Ccm Asilia Na Ccm Mpya (magufuli).
Ccm Asilia Hawamtaki Polepole Kwa Msimamo Wake Aliyo Utoa Hadharani Kuamini Ktk Muungano Wa Serikali 3.
Ccm Maslahi Ni Wengi Sana Hawa. Ni Wale Waliokuwa Ktk Kambi Za Wagombea Urais Ndani Ya Ccm Mwaka 2015. Hawa Wanamuona H Polepole Kuwa Si Msemaji Wao, Bali Ni Msemaji Wa Magufuli. Lkn Pia Zoezi Linaloendelea Ndani Ya Ccm La Kuwafutia Uanachama Wanaccm Maslahi (wasaliti) Haliwapi Raha Kabisa.
Anapo Ibuka Kuisemea Ccm, H. Polepole Anaangaliwa Kama Asiyejua Anachokisema. Ndiyo Maana Kaamua Kuufunga Mdomo Na Kuwa Mtazamaji Tu.
Si Mnakumbuka Mange Alipochoma Kadi Yake Polepole Alitoa Kauli. Kwenye Sakata La Ngada Umemsikia? Kwenye Sakata La Msukuma, Bunge Na Wema Umemsikia?
Waache watoane roho. Ni nani anawajali hawa mumiani waso huruma?
Mgawanyiko Na Mtifuano Uliomo Ndani Ya Ccm Kwa Sasa Unamuweka Njiapanda Ndg H Polepole. Anajikuta Mpweke Ndani Ya Ccm.
Ccm Kwa Sasa Iko Vipande 3: Ccm Maslahi, Ccm Asilia Na Ccm Mpya (magufuli).
Ccm Asilia Hawamtaki Polepole Kwa Msimamo Wake Aliyo Utoa Hadharani Kuamini Ktk Muungano Wa Serikali 3.
Ccm Maslahi Ni Wengi Sana Hawa. Ni Wale Waliokuwa Ktk Kambi Za Wagombea Urais Ndani Ya Ccm Mwaka 2015. Hawa Wanamuona H Polepole Kuwa Si Msemaji Wao, Bali Ni Msemaji Wa Magufuli. Lkn Pia Zoezi Linaloendelea Ndani Ya Ccm La Kuwafutia Uanachama Wanaccm Maslahi (wasaliti) Haliwapi Raha Kabisa.
Anapo Ibuka Kuisemea Ccm, H. Polepole Anaangaliwa Kama Asiyejua Anachokisema. Ndiyo Maana Kaamua Kuufunga Mdomo Na Kuwa Mtazamaji Tu.
Si Mnakumbuka Mange Alipochoma Kadi Yake Polepole Alitoa Kauli. Kwenye Sakata La Ngada Umemsikia? Kwenye Sakata La Msukuma, Bunge Na Wema Umemsikia?
AlaaWenye CCM ni hao hao Wabeba UNGA GSM
kwa sasa CCM ni imara zaidi kuliko unavyofikiria.Mgawanyiko Na Mtifuano Uliomo Ndani Ya Ccm Kwa Sasa Unamuweka Njiapanda Ndg H Polepole. Anajikuta Mpweke Ndani Ya Ccm.
Ccm Kwa Sasa Iko Vipande 3: Ccm Maslahi, Ccm Asilia Na Ccm Mpya (magufuli).
Ccm Asilia Hawamtaki Polepole Kwa Msimamo Wake Aliyo Utoa Hadharani Kuamini Ktk Muungano Wa Serikali 3.
Ccm Maslahi Ni Wengi Sana Hawa. Ni Wale Waliokuwa Ktk Kambi Za Wagombea Urais Ndani Ya Ccm Mwaka 2015. Hawa Wanamuona H Polepole Kuwa Si Msemaji Wao, Bali Ni Msemaji Wa Magufuli. Lkn Pia Zoezi Linaloendelea Ndani Ya Ccm La Kuwafutia Uanachama Wanaccm Maslahi (wasaliti) Haliwapi Raha Kabisa.
Anapo Ibuka Kuisemea Ccm, H. Polepole Anaangaliwa Kama Asiyejua Anachokisema. Ndiyo Maana Kaamua Kuufunga Mdomo Na Kuwa Mtazamaji Tu.
Si Mnakumbuka Mange Alipochoma Kadi Yake Polepole Alitoa Kauli. Kwenye Sakata La Ngada Umemsikia? Kwenye Sakata La Msukuma, Bunge Na Wema Umemsikia?