Hii ni dharau kwa watanzania, tatizo la CCM kung'ang'ania vizee kuongoza chama, wakati dunia inakwenda na wakati sisi tumejikita na mambo ya ujima. Kudharau debate kwenye TV na kusifu mikutano ni sawa na kusema hata nikipanda punda nitafika safari bila kujali muda, type ya viongozi kama hawa ndio wanaoirudisha nyuma nchi yetu, ningekuwa na uwezo wa kumkaribia Makamba ningemzaba kibao.