Tetesi: CCM yajipanga kumvua uanachama Humphrey Polepole

Tetesi: CCM yajipanga kumvua uanachama Humphrey Polepole

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
12,151
Reaction score
44,081
Baada ya Humphrey Polepole kufanya shambulio zito la ghafla la kisiasa kitaifa na kimataifa dhidi ya utawala wa sasa wa Mama Samia, tayari ndani ya CCM kuna maumivu makali ikiashiria kisu kimetua kwenye mfupa, ndani ya CCM hakukaliki, na mpango uliopendekezwa kufanyika kwa haraka ni kumvua uanachama Humphrey Pole Pole.

Mchakato uliopangwa ni kumuita haraka kuja kujieleza (jambo ambalo huenda Polepole atalikaidi, maana anaweza asirejee sasa hapa Tanzania na pia halitabadilisha chochote) na baada ya hapo itatangazwa kuvuliwa uanachama.
 
Too late, msg tayali imepenya hata wakimvua uanachama hiyo nisawa na maji yakwisha mwagika
Lkn amefanya kosa gani si ndio ukweli wenyewe?
Wewe mtu unatoka nyumbani asubuhi ukachukue fomu ghafla unakutana na kibinyio getini kwako, usifanye masiala na kibinyio
Polepole kazi yako umeitendea haki, wasilimie huko Cuba
 
Baada ya Humphrey Polepole kufanya shambulio zito la ghafla la kisiasa kitaifa na kimataifa dhidi ya utawala wa sasa wa Mama Samia, tayari ndani ya CCM kuna maumivu makali ikiashiria kisu kimetua kwenye mfupa, ndani ya CCM hakukaliki, na mpango uliopendekezwa kufanyika kwa haraka ni kumvua uanachama Humphrey Pole Pole.

Mchakato uliopangwa ni kumuita haraka kuja kujieleza (jambo ambalo huenda Polepole atalikaidi, maana anaweza asirejee sasa hapa Tanzania na pia halitabadilisha chochote) na baada ya hapo itatangazwa kuvuliwa uanachama.
Ni Bora kuliko kuwa na mtu asiye mtii na mnafiki.

Hata hivyo alikuwaga mwanaharakati,Jiwe ndio alimleta Kwa maslahi yao.
 
Hii haina come back amepiga counter attack kama PSG ukija kibwege unakula kono la nyani


No reform No Election
 
Hilo kombora alilorusha Slowslow ni kama lile kombora walilorusha Iran siku ile ya mwisho ya 12 days war limekaa kama dildo (linakuja kama mzahamzaha kwa zigzag halafu wala halikosei target) hadi Israel wakaomba ceasefire.

Kombora hili la leo limetua direct usoni kwa bi kizim. Kwa ubishi wa Kizim kashakuwa sugu kama farao yeye wala haombi ceasefire
 
Back
Top Bottom