Kila mtanzania mwenye akili timamu hataki huu uongozi wa awamu ya sita.Awamu ya kuteka watu na kuua na kukumbatia mafisadi na kuuza Mali zote muhimu za Tanganyika Kwa waarabu.Tunaomba na viongozi wengine wajiuzulu ili hii simbilisi abaki yenyewe na mkwe wake mchengelwa ili apate akili ya namna ya kuongoza nchi vizuri