Kudadeki
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 859
- 52
Kaka kwa muda huu hakuna atakayekusikiliza na vipropaganda vyako feki. Tunahitaji mutatue kero zetu nyie maccm sio mnaleta mambo ya umbea hapa. Tumechoka na umbea wenu.
Yaani mtu mzima umekaa kabisa unaleta upuuzi huu huku unajua nini kinaendelea? Huu sio mpango sepa bana.
Wewe mbona umesikiliza na hata kujibu? Waachie na wengine "wasikilize" basi... Matatizo ya kudandia siasa ukubwani!