Umepiga mwaski au umekatiwa Maji na umeme? Kama huna la kukomenti ni bora ufunge bakuli lako
vipi dada....naona sasa hivi unatoa hewa tu ya futari! umefuturishwa na nini leo maana naona mambo yamekuwa kama ya yule mnyama 'fungo'..ni kuchafua hali ya hewa tu..!Magwanda ni waoga sana, mnaogopa nini? kwani uongo? kuna magazeti, hayo aliyoyataja mtoa mada, hayana kabisa chema chochote yanachoandika ama cha serikali ama cha CCM.
Na Nape ndio mtajuwa ni nani mwaka huu, jamaa kawakata makali kwa muda mfupi sana. Na leo tunaona baada ya kurudi safari yake ya Moshi na Arusha ofisi za magwanda wanazifunga wenyewe huko. Afanaalek, kufa hakuna brek!
ccm washakufa msiwe na wasiwasi wanatapata tuuu km mfamaji. haata waanzishe sijui nini tutaingia huko huko na kuwaponda
Nape anabisha nini wakati
Kundi la askari kanzu wa Nape .... ...
Mimi ndiye Mkuu wa Idara ya ccm ya itikadi na uenezi, kwanza nimesikitishwa sana na uzushi huu wa kunihusisha mimi binafsi na idara yangu na mpango huu haramu. Nataka kuthibitisha hapa hautokani na idara yangu ya itikadi na uenezi na wala mimi mwenyewe binafsi kama Nape siufahamu.
Hakuna kikao nimewahi kukaa na hao wanaotajwa kuwa marafiki wa CCM.
Sijawahi kuwa na kikao nao wala mpango na siwajui, sasa uongo mwingine hapa mara wamefanya kikao na nape mara wamepanga kikao ni upuzushi ambao unastahili kupuuzwa. ....naamini lengo la mchezo huu ni kukigombanisha chama na baadhi ya vyombo vya habari na kunigombanisha binafsi mimi na baadhi ya vyombo vya habari..... Kumbukeni ni mimi ndo nimekua nikifanya ziara kwenye vyombo vya habari mbalimbali nchini, then eti niandae mkakati wa kuvitenga baadhi.
Nimesikitishwa na hili.
Nape said:Uchanganyaji WA HABARI KIASI hichi ndo hutufanya wengine tupite hapa bila KUSEMA. MAANA KAMA INAKUWA VIGUMU KUJADILI HOJA BILA KUICHAKACHUA KUNAKUWA HAKUNA MAANA YA KUPOTEZA MUDA MAANA WAKATI MWINGINE BADALA YA KUTAKA KUJUA MTU ANATAKA KUPOTEZA MDA WAKO TU.....
Nape said:Joka KUU ,
Wewe HUMU ndani upo mda mrefu sema WAPI NIMEWAHI HATA KUJARIBU kudanganya HUMU ndani???? "NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO"......... WAPI huko vijijini ninapodanganya uongo unaodai siwezi kudanganya hapa???? KAMA NI MBOVU NIKAAMINI MBOVU NTAISEMA KAMA ILIVYO NA NIMEJENGA RECORD HIYO HATA NDANI YA CHAMA CHANGU WENGI WAKIAMUA KUWA WA KWELI WATAKIRI HILI..... SIJAWAHI KUOGOPA MTU,CHEO WALA JINA.... SI TABIA YANGU