CCM yadaiwa kuanzisha Forum yake; Nape akanusha

Nape,<br />
<br />
..UONGO unaoshiriki ni hizi kampeni za kujivua magamba.<br />
<br />
..hivi hufahamu kwamba RUSHWA ndani ya chama chako imeshamiri kutokana na harakati za JK kutafuta Uraisi?<br />
<br />
..unaweza vipi kupita kila mahali ukipiga kampeni Rostam na Lowassa wafukuzwe huku ukimuacha mshirika wao mkuu JK?<br />

HEBU KUWA MKWELI KWA USHAHIDI, WAPI NIMESEMA TATIZO NI WATU WATATU TU NDANI YA CHAMA? kote nilikopita na nilikosema NIMESEMA wazi bila kumumunya maneno KUWA TATIZO NI WATU kuamua kujilimbikizia mali, na KUTUMIA Mali au utajiri wao kuyumbisha misingi ya Chama chetu... Nani anayebisha KUWA misingi iliyojengwa na Mwl kwa CCM inazuia MATUMIZI ya pesa Kama kigezo Cha kutafutia viongozi?
HILI LA UKABILA LIMEKUZWA, MIMI SI MUUMINI WA UDINI WALA UKABILA, BABA NA MAMA YANGU NI MAKABILA TOFAUTI NA DINI TOFAUTI, SO MIE SIO MUUMINI WA HILI...
UJANJA NILIOUTUMIA KUWASEMA VIONGOZI WA UPINZANI NI UPI? MARA NGAPI NIMETOKA HADHARANI KUKIRI KUWA UIMARA WA UPINZANI NI SALAMA YA CCM? IPO HOJA NILIYOMSINGIZIA KIONGOZI HUYO WA UPINZANI KAMA WAO WALIVYOFANYA BADALA YA KUJIBU HOJA WAKAENDA KUTAFUTA UONGO NA KUTAKA WATANZANIA WAAMINI JUU YA NAPE? MARA IEPA, MISHAHARA MIWILI, UDC, CCJ NK.....





<br />
..Mwenyekiti wako na wabunge kibao wameingia madarakani kwa rushwa na majungu, na wewe kudai wanaoichafua CCM ni watu wachache huo ni uongo mkubwa.<br />
<br />
..hata hizi kampeni zako dhidi ya viongozi wa vyama vya upinzani zimejaa ujanja-ujanja tu lakini hamuwaelezi wananchi ukweli.<br />
<br />
..si ni wewe uliyesema huwezi kujiunga na CDM kwasababu ni chama cha Wachagga? sasa Wachagga walioko CCM unataka wahame?
<br />
<br />
 
Lat,
huoni wewe unajikosoa mwenyewe kwa kuuliza maswala ya uchumi wa ccm wa ndani huku ukijua yuko anayeshughulika nao? Pamoja na kwamba kama msemaji wa chama ninajua hilo unalouliza, lakini zingatia ushauri wako then uliza swali jingine.....

Nilipoingia hapa ilikuwa ni kujibu hoja ya mtandao wa marafiki wa ccm wa vyombo vya habari kama ilivyodaiwa, je haihusiani na idara yangu? Unapokuwa msemaji wa chama lazima uwe na uwezo wa kujua karibu mambo yote yanayoendelea ndani ya chama chako na ndo maana. ,kama mtanzania na msemaji wa chama kilichoko madarakani nikajibu na hoja zingine zilizoibuliwa nje ya mada....
Ukitaka hili la uchumi wa ccm wa ndani anzisha thread nitakuja kukujibu leo ninao muda wa kutosha....
 
<br />
<br />

naona umeendelea kuwatimua wachaga na watu wa Arusha kwa kasi na mnakaa na kupanga mtu wa pwani awe rais tena , kikwete rais ajaye mh lowassa nadhani kuepusha asikunyonge ni ukimbie nchi. pia mh ile topic unayopresent kule Mzumbe university Dar business school si unajua umecopy toka kwa mzee wangu tena ni mchagga huoni wachaga tukiamua hutaweza kumaliza masters yako ya mzumbe mwaka huu utadisco
 
Lat,
huoni wewe unajikosoa mwenyewe kwa kuuliza maswala ya uchumi wa ccm wa ndani huku ukijua yuko anayeshughulika nao? Pamoja na kwamba kama msemaji wa chama ninajua hilo unalouliza, lakini zingatia ushauri wako then uliza swali jingine.....

Nilipoingia hapa ilikuwa ni kujibu hoja ya mtandao wa marafiki wa ccm wa vyombo vya habari kama ilivyodaiwa, je haihusiani na idara yangu? Unapokuwa msemaji wa chama lazima uwe na uwezo wa kujua karibu mambo yote yanayoendelea ndani ya chama chako na ndo maana. ,kama mtanzania na msemaji wa chama kilichoko madarakani nikajibu na hoja zingine zilizoibuliwa nje ya mada....
Ukitaka hili la uchumi wa ccm wa ndani anzisha thread nitakuja kukujibu leo ninao muda wa kutosha....

nape wewe endelea tu kueneza siasa lakini hii inanisikitisha sana kuona kwamba upeo wako na majibu yako vyote ni vya mzaha .... nilidhani ungeweza kufuata mrengo ambao ungekupa credit kwa kuonyesha kwamba ccm ina mwelekeo wa kujenga uchumi hence kukwamua matatizo ya mtanzania ... lakini kama hata porous data za kiuchumi umeshindwa kutuelezea basi sasa nimeshajiridhisha kamba i.... you are very slender on issues pertaining change in this country

and this is nothing else than a sacrifice for show off
 
Nape said:
Baada ya vyama vya upinzani kujua kwamba vijana wengi wanapenda zaidi upashanaji habari kwa njia ya mitandao kwenye kompyuta, kuliko mikutano ya hadhara na njia nyingine za kawaida, baadhi ya vyama hivi vimetumia sana njia hii kuwajaza uongo vijana.
Nape said:
Na kwa sababu uongo ukizidi kuenezwa bila kupingwa huweza kuonekana ndiyo ukweli, baadhi ya vijana wameamini uongo huo, na matokeo yake wamejenga chuki kiasi cha kutoyaamini hata mambo ya maana na ya msingi wanayoambiwa na CCM na serikali yake jambo ambalo ni hatari kwa hatma ya taifa.



Nape,

..kauli hizo hapo juu unazitoa huko ambako ukiwa kiongozi wa CCM tayari unakuwa MUNGU-MTU.

..no body dares to question you, ndiyo maana unakuwa na ujasiri wa kudai kwamba CCM inakosa umaarufu kutokana na vijana kujazwa uongo na viongozi wa upinzani.

..how do u dare say that kwa wananchi waliopigika na mgao wa umeme, kupaa kwa bei za bidhaa muhimu, na kupungua kwa thamani ya mapato na uwezo wao kumudu maisha.

..Nape, CCM hii siyo ile ambayo Mzee Moses Nnauye[r.i.p] alitumia nguvu na akili zake kuijenga. CCM sasa imekuwa genge la mafia wa kisiasa, and has totally lost the legitimacy to lead our nation. Inasikitisha vijana wasomi kama wewe mnatumia nguvu na akili zenu kuwezesha kundi hilo kuendelea kubaki madarakani


 
naona umeendelea kuwatimua wachaga na watu wa arusha kwa kasi na mnakaa na kupanga mtu wa pwani awe rais tena , kikwete rais ajaye mh lowassa nadhani kuepusha asikunyonge ni ukimbie nchi. Pia mh ile topic unayopresent kule mzumbe university dar business school si unajua umecopy toka kwa mzee wangu tena ni mchagga huoni wachaga tukiamua hutaweza kumaliza masters yako ya mzumbe mwaka huu utadisco
Pengine hoja katika hili zimeisha tuhamie kwingine maana sasa umeanza utani na mzaha wa kitoto... Nenda vyuo vyote nilivyosoma watakwambia Nape ni nani awapo darasani.......

LAT, nakushukuru kwa kuhitimisha, mwenye macho na akili haambiwi tazama, anajua pumba na ngano hazifanani
 
Joka Kuu,

Ningekuwa natetea kila kitu ndani ya chama changu hakika ningekuwa natumia elimu yangu vibaya, lakini si siri kwenye mapungufu nasimama hadharani bila kumumunya maneno na kusema, mifano ipo mingi ya kutosha..... Wanaofanya umafia unaousema si wote ndani ya CCM, sasa kwanini tuvunje chungu kwa kumuua panya aliyeingia ndani ya chungu?
 
Pengine hoja katika hili zimeisha tuhamie kwingine maana sasa umeanza utani na mzaha wa kitoto... Nenda vyuo vyote nilivyosoma watakwambia Nape ni nani awapo darasani.......

LAT, nakushukuru kwa kuhitimisha, mwenye macho na akili haambiwi tazama, anajua pumba na ngano hazifanani

Nape tangu umeanza kuchangia hii thread mpaka hapa hujaweka kitu substantive kwenye agenda hii,na unaonyesha dalili zote za kukimbia huku ukiwa bado hujajibu hoja kama kijana msomi. Hakuna tofauti ya majibu yako na tambwe hiza.

Nadhani kuna walakini ndani ya usomi unaojiitia na ndo sababu ilibidi upite kwanza kivukoni academy, bila shaka wazee wa chama iliwabidi wakuokoe kwa staili hiyo kwani vinginevyo sijui ungekuwa wapi! Sasa unapotaka tukaulize huko ulikosoma ama unakosoma naona unatafuta kuumbuka bure haya ya taaluma yaache kama yalivyo.

Watu wanakufahamu kuliko unavyodhani.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Joka Kuu,

Ningekuwa natetea kila kitu ndani ya chama changu hakika ningekuwa natumia elimu yangu vibaya, lakini si siri kwenye mapungufu nasimama hadharani bila kumumunya maneno na kusema, mifano ipo mingi ya kutosha..... Wanaofanya umafia unaousema si wote ndani ya CCM, sasa kwanini tuvunje chungu kwa kumuua panya aliyeingia ndani ya chungu?
Nape,

..sisemi kwamba hakuna wasafi ndani ya CCM.

..lakini wasafi hao siyo wenye kauli na maamuzi ndani ya CCM.

..mafia wa kisiasa ndiyo walioshika hatamu za uongozi ndani ya CCM.
 
Pengine hoja katika hili zimeisha tuhamie kwingine maana sasa umeanza utani na mzaha wa kitoto... Nenda vyuo vyote nilivyosoma watakwambia Nape ni nani awapo darasani.......

LAT, nakushukuru kwa kuhitimisha, mwenye macho na akili haambiwi tazama, anajua pumba na ngano hazifanani

nasikitika wewe kutumia chombo cha mawasiliano na jf kudanganya jamii kwani tunaofuatilia tunajua nini kinaendelea katika pazia na nini umecopy toka wapi na nini unasema tambua katika chuo cha mzumbe business school wewe ndio kiongozi wa kuchukua topic zilizofanywa na watu na pia ni miongoni mwa watu dhaifu sana na unatarajia kuhitimu kwa msaada wa viongozi wa MUSSO na si kuwa wewe ni mwenye akili ,,, kitu ambacho wanaweza kukukumbuka pale mzumbe ni kulinda magari ya watu. nadhani picha hii inaendelea kuonyesha utofauti kati ya vijana wa CCM walioko vyuoni na wale wa BAVICHA na kwa hili la topic yako nadhani imefika wakati kukumulika kwenye taasisi za udhibiti wa wizi wa kitaaluma ili ushitakiwe

NAPE wewe ni fisadi wa ELIMU kwani umeiba tafiti wa watu
 
nasikitika wewe kutumia chombo cha mawasiliano na jf kudanganya jamii kwani tunaofuatilia tunajua nini kinaendelea katika pazia na nini umecopy toka wapi na nini unasema tambua katika chuo cha mzumbe business school wewe ndio kiongozi wa kuchukua topic zilizofanywa na watu na pia ni miongoni mwa watu dhaifu sana na unatarajia kuhitimu kwa msaada wa viongozi wa MUSSO na si kuwa wewe ni mwenye akili ,,, kitu ambacho wanaweza kukukumbuka pale mzumbe ni kulinda magari ya watu. nadhani picha hii inaendelea kuonyesha utofauti kati ya vijana wa CCM walioko vyuoni na wale wa BAVICHA na kwa hili la topic yako nadhani imefika wakati kukumulika kwenye taasisi za udhibiti wa wizi wa kitaaluma ili ushitakiwe

NAPE wewe ni fisadi wa ELIMU kwani umeiba tafiti wa watu

Ndo maana mimi nilimtahadharisha mapema kabisa kwamba aendelee na mambo mengine, hili la elimu asiliguse kwani mengi yataibuka na watu wanamfahamu kuliko anavyodhani.
 
Ije tu sisi kama kawaida yake tutavamia huko kwa kasi sana na muda mfupi tu itakuwa chungu kwao.
 
Wana Jf

Nimesoma habari ambayo imenistua na imenibidi niongee na Mhariri wa Gazeti la Mtanzani Ndg Jacton Manyerere na amenithibitishia kuwa habari aliyoandika ni ya uhakika.

Idara ya Uenezi na Itikadi ya CCM ambayo ipo Chini ya Ndg Nape imeanzisha Mtandao wa Vyombo vya Habari na wana Habari Rafiki na Bloggers na amekuwa akikutana nao Mara kwa Mara.

Kutokana Taarifa za Gazeti la Mtanzania (Media House ambao si Rafiki na CCM kwa Sasa), media ambazo hazitahudhuria ktk mkutano wa Tar 13 na 14 mwezi huu utakaofanyika Morogoro ni Mwananchi Communication, New Habari, Hali Halisi na Free Media. Vyombo hivi si Rafiki wa CCM.

Na Bwana Jacton ansema doc ya FCCM inaonyesha uwepo wa Mpango Mkakati wa Kuanzisha FORUM itakayoitwa KWETUFORUM na pia utaanzishwa mpango halisi wa kuimaliza Jamii Forums.

Pamoja na mpango huu awali walikua wakutane Dodoma wakati wa kamati kuu na mnamo mwezi wa Tano Nape alifanya kikao makao makuu ya CCM na akakutana Bloggers na kuwaahidi kuwasaidia lakini waisaidie CCM ktk Mkutano huo alikuwepo Blogger mmoja wa Jinsia ya Kike anaeitwa Shamim kutokana na mahudhurio ya kikao hicho.

Kilichonishangaza ni baada ya kusoma Agenda za Mkutano ktk Gazeti la Mtanzania leo nimeshangaa katibu wa mpango huu ni dada ambaye sisi hapa Nipashe alikuwa haheshimiki na alisimamishwa kazi.

Binafsi hii ninailaani kwakua inaleta Taswira Mbaya na ninatarajia kuona Editors Forum wanalifanyia kazi kama CCM inatugawa wana Habari ktk Makundi ya Rafiki na Adui ni jambo baya kufanywa na chama kikongwe kama Hiki. Nadhani huyu dogo Nape amechanganyikiwa kabisa.

Nimeona niilete hapa Jamvini Tulijadili.

Story ipo ukurasa wa kwanza ktk Gazeti la Mtanzania na inaendelea ukurusa wa nane.

Cha ajabu ni kipi hapa.

Umewahi kutizama Fox news ya U.S? Kama umewahi wala hutotaka kuuliza ni "friendly" kwa chama gani kati ya Democrats na Republicans.

Na je umewahi kusoma the "Huffington Post"? nayo hutohitaji mtaalam akwambie wako frienly na chama gani. Hiyo ndiyo siasa, watu wa media na nyinyi mna values zenu mnazosimamia kwenye maisha yenu. Kama values za chombo chako zinawakilishwa na CCM basi hakuna ubaya wowote.
Kama unaona chombo ulichokuwepo kinasimamia values tofauti, basi si uache kazi uwe freelancer au uende kwenye chombo chenye values kama zako.

Its about values and principles za malengo ya chama kwa jamii. Ila to be honest binafsi sioni tofauti ya msingi sana kati ya Chadema na CCM. Kwa sasa CDM sera yao inayovuma sana ni kupinga ufisadi wa watawala, na utawala wa sheria. To me these can not be the policies za kuendesha nchi kuelekea jamii tunayoitaka. Kila chama kina wajibu wa kuwashurutisha watendaji wake wawe watiifu wa sheria na kupinga ufisadi. CCM kwa vile imejisahau ndio maana CDM inapata easy points hizi. We jiulize kama CDM ingeanzishwa kipindi cha Mwalimu wangekuja na ufisadi au utawala wa sheria kama sera kuu?

Principles za kutofautisha vyama ni kwa mambo kama;

Government control- how big, and how far the government control should intervene in peoples personal lives.

Tax - Who will be taxed, what will be taxed, who will be exempeted? Isit regressive or progressive taxation? will there be tax holidays? for who?

Citizenship- Will there be dual citizenship or not

Fiscal policies - what percentage of profits should foreign investors be allowed take out of the country

Transparency and accountability - Je serikali itaruhusu uwazi wa kiasi gani katika kusimamia uwajibikaji

Hii ni mifano michache tu, lakini hizi sera ndio haswa tunahitaji kuzisikia majukwaani. Lakini kwa sasa hakuna real meat kwenye sera za vyama zinazotofautisha kati ya chama A na B.

Cha msingi jiulize, unaamini principles na values gani kuijenga jamii unayoitaka, halafu jiulize kuna chombo gani cha habari kinachosimamia hizo principles ujiunge nacho.
 
Tatizo wakianzisaha baada ya Muda watasema ni ya CHADEMA ha ha ha
 
Nape kwanza nikushukuru kwa kujibu hoja japo Naona umeenda tuition moja na mwenyekiti wako katika kujibu hoja. Yani unaulizwa matatizo ya waTZ unaanza kutaja mgao wa umeme kenya kwamba haukuletwa na magamba lakini hujasema uwiano wa vyanzo vya umeme vya kenya na tz. Kuhusu zimbabwe matatizo yameletwa na ubabe wa nchi za magharibi.

NA KUHUSU TANZANIA MATATIZO YANALETWA NA UBOVU, UFISADI, USHIKAJI WA JK, RUSHWA, UJANJA UJANJA WA MAFISADI WA CCM, MADEAL YA UMEME UNAOFANYWA NA VIONGOZI WA SERIKALI YA CCM na mengine mengi maana nikiweka yote ntajaza siredi. We umekaa unataka kudanganya watu humu hayo mambo kadanganye vijijini.
 
  • Thanks
Reactions: Ole
Kufa MBONA SI TATIZO, ANAKUFA BINADAMU SEMBUSE TAASISI? Swala hapa SI kufa swala hapa kufa kwake ndo suluhisho la matatizo tuliyo nayo? mgao WA umeme Kenya umeletwa na CCM? MPAKA walifikia MAHALI wanafunga uwanja WA ndege ndege haziruki kiss mgao WA umeme, huko CCM IKO?

Ugumu WA maisha ZIMBABWE CHANZO BILA SHAKA CCM! vurugu zinazoendlea MALAWI, AFRIKA KASKAZINI NAKO CCM NDO INAYOSABABISHA...... KUJUA CHANZO CHA TATIZO NI MWANZO WA UFUMBUZI WA TATIZO... NIELEZENI KUFA KWA CCM KAMA TAASISI KUTAMALIZAJE MATATIZO YA TANZANIA? Kwa HOJA pls SI MATUSI na kejeli Kama Huna HOJA tuachie wengine tujadili

Oooohhh oohhhhh hold on please! Hivi unataka kutwambia kwa sababu Kenya au Zimbabwe wana matatizo basi ni halali na sisi tuwe nayo? Au kwa sababu matatizo hayo yako kwao sisi sio unique kutokuwa nayo, Mambo ya Ngoswe mwachie Ngoswe toa sababu za maana kwa nini moja tuwe na tatizo la umeme wakati tatizo hilo ni chamtoto? Uwezo tunao, pili kwa nini mmekuwa mnakokota wabadhirifu wanaofuja pesa za walipa kodi bila kuwachukulia hatua yoyote?
 
Kufa MBONA SI TATIZO, ANAKUFA BINADAMU SEMBUSE TAASISI? Swala hapa SI kufa swala hapa kufa kwake ndo suluhisho la matatizo tuliyo nayo? mgao WA umeme Kenya umeletwa na CCM? MPAKA walifikia MAHALI wanafunga uwanja WA ndege ndege haziruki kiss mgao WA umeme, huko CCM IKO?

Ugumu WA maisha ZIMBABWE CHANZO BILA SHAKA CCM! vurugu zinazoendlea MALAWI, AFRIKA KASKAZINI NAKO CCM NDO INAYOSABABISHA...... KUJUA CHANZO CHA TATIZO NI MWANZO WA UFUMBUZI WA TATIZO... NIELEZENI KUFA KWA CCM KAMA TAASISI KUTAMALIZAJE MATATIZO YA TANZANIA? Kwa HOJA pls SI MATUSI na kejeli Kama Huna HOJA tuachie wengine tujadili

Ndugu Nnauye

(1) Kwani hujui kuwa matatizo ya Zimbabwe, Afrika ya kaskazini na Malawi yanatokana na utawala mbovu kama huu wa CCM? Ni kutokana na utawala wa namna hiyo, ndiyo maana wengine wanapigana na kumwaga damu huko Afrika ya kasakazini. Je unataka na sisi tufikie hapo?

(2) Matatizo ya umeme ya Kenya huwezi kuyafananisha na ya Tanzania. Kwa kenya wameanza kuyapata mwaka juzi tena kwa kiwango kidogo tu, na serikali yao ikaamua kutafuta ufumbuzi wa nguvu, siyo huu wenu wa Megawati mia za kuibiana. Matatizo yaliyoko Kenya sasa hivi kwa kiasi kikubwa yamesababishwa ya mitambo ya uzalishaji kuzimbwa kwa sababu ya kuifanyia service ya kawaida, effect ya ukame haikuwa kubwa kama hapa kwetu Tanzania tulivyozowea sana kwa zaidi ya miaka saba na wala hakuna mpango unaoelewa kumalizana nalo zaidi ya Kikwete kulalamikia mvua !

Kenya in fresh efforts to increase electricity supply

Published on 31/01/2011
By Patrick Githinji


Efforts to increase the national power grid are gaining momentum. Now, the Ministry of Regional Development Authority has completed a feasibility study to generate hydro-electric power on Tana River in Marimanti in Eastern Province.

The project, dubbed the &#8216;High Grand Falls Dam', is set to inject into the national grid 1200MW.

It is also intended to reduce power blackout that have been experienced in the past years, especially in 2009.

Power demand is estimated at 1100MW and is fast rising while the supply is slightly under this figure.

In an interview with
Financial Journal ahead of the release of the study, PS Regional Development Authority Ministry Eng Carey Orege said on completion, the project will provide power to State projects in Lamu Port and Malili ICT Park.

"There is need to develop and diversify power sources to meet the expected growth demands for vision 2030," Eng Orege said.

Flood control

He says the main objective of the dam is to provide a large-scale multi-purpose water reservoir catering to public water supply, irrigation, river regulation, and flood control and power production in order to contribute to the regional and national social economic development.

Orege says the ministry has already obtained approval from National Environmental Management Authority (NEMA) and in the next three months, they will be embarking on a detailed design.

"After we are done with the detailed design, we will be able to advertise for tenders to source for construction fund."

Other issues the study has addressed include the resettlement programme for those living along the basin.

The project is expected to be funded to a tune of $1.5 billion and construction scheduled to begin mid this year.

According to Orege, the funding is expected to come from the Government, international development agencies as well as public-private partnership.
This will be the first mega project to start along the Tana River.

"Other dams will be constructed in Nandi Forest, Magwagwa, Arror and Mwache. Preparation of feasibility studies, design and tender documents have commenced," Orege says. The three have a combined capacity of 284MW.

It is touted that when complete, the High Grand Fall dam will increase food security, agribusinesses and agricultural processing, raise up to 180,000 ha irrigation potential and reduce the perennial problem of floods in the lower ridges of the river.

According to KenGen Managing Director Eddy Njoroge, Kenya must at least have 30-35 per cent increase in electricity supply by 2018 to achieve vision 2030.
The national energy capacity by 2030 is expected to have surpassed 17,764MW.

As part of the firm's effort to contribute to the national grid, KenGen opened a wind farm in Ngong' - a project that will inject 500MW in the next five years.

In December, KenGen signed a deal with a France-based company to fund geothermal projects in Olkaria 1 and 4.

Olkaria 1 is expected to increase its capacity from 45MW to 140MW by the end of 2013 while Olkaria 4 is expected to generate 140MW.

This comes as result of competition from the Independent Power Producers (IPP) who are currently injecting 347MW in the national grid.

Mumias Sugar Company is among the companies that have secured a contract to supply electricity to Kenya Power and Lighting Company (KPLC).

The company commissioned a 38MW co-generation plant in May 2009, enabling it to increase the electricity generation capacity from bagasse from 13.5 to 38MW with 25 megawatts being fed into the national grid.

The company has also started trading in carbon credits in which it produces power through burning of bagasse, a position that reduces carbon emission as no oil, coal or gas is used in power generation.

Kenya is highly reliant on hydropower that account for 52 per cent, while thermal, geothermal and wind/bagasse
accounts
for 32 per cent, 14 per cent and 2 respectively.

Scaling up
Last week, China Exim
Bank availed $90 million to buy five drilling rigs to tap steam reserves.

Addressing the media shortly after the signing of the agreement, Dr Silas Simiyu, the chief executive officer of Kenya's state-run Geothermal Development Company, said the gear will probably be delivered in 2013.

The country is scaling up its search for underground steam
deposits with a $2.6 billion 10-year plan to sink 566 wells at Olkaria, Menengai and Silali in the Great Rift Valley, where shifting tectonic plates provide a key source of energy.

Simiyu says the goal is to find enough steam to generate 2,336 megawatts of power by 2020 in a bid to ease dependency on the country's main hydroelectric providers.

Kenya rationed power to
homes
and businesses between August and October 2009 after a drought depleted water evels in dams, hurting economic growth.

"Once the ramping up of geothermal development takes place, the issue of power shortages should cease to exist," Simiyu says.

In November, the Government acquired two drilling rigs China National Petroleum Corp at a cost of $35 million each.

Simiyu says with these rigs, GDC is expected to begin drilling this week at the central Menengai field, aiming to find sufficient reserves to feed a 400-megawatts into the national grid by 2014.
 
Back
Top Bottom