Mwita25
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 3,831
- 1,164
<br />Kwa hoja hawataweza kuimaliza jamii forums...labda wajaribu cyber attack....! lakini hata wakijaribu cyber attack itakula kwao ...maana ma hackers tupo fit hapa!
<br />
Kwahiyo mmeshahalalisha kuwa JF ni forum ya CHADEMA? Mambo ya ajabu sana haya.