CCM yaanza kusambaratika Mbeya

CCM yaanza kusambaratika Mbeya

Mohamed Mbelwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
507
Reaction score
272
Waliokuwa wagombea wa CCM wa mitaa mbalimbali jijini Mbeya, wameanza kujiengua na Kujiunga na CHADEMA.

Katika mtaa wa Bombambili kata ya Mwakibete, Aliyekuwa mgombea wa CCM Roderic MWANG'ONDA na timu yake Joph Kayoyo , Tuli Kibona, nk wanatazamiwa kurudisha kadi za CCM hivi karibuni katika mkutano wa CHADEMA, unaoandaliwa kwa ajiri ya kuwashukuru wapiga kura, mmoja wa wagombea hao Tuli Kibona amenukuliwa akisema "tunafanya kazi kubwa kuwashawishi wananchi kubaki CCM, lakini wenzetu wakubwa wanajichotea mamilioni kiulaini tu.

Amesema bora aungane na timu ya ukombozi kuiondoa CCM madarakani. Kata nyingine zinazotarajia kupokea wagombea kwa wingi ni Ruanda, Ilomba, Forrest, Manga, Ilemi , nk
 
Wasipoyapata mabadiliko ndani ya ccm watayatafuta pengine. Jk.Nyerere
 
sijaelewa hili! demokrasia safi siyo kuhama hama vyama.

Hizo sababu alizotoa huoni kuwa ni kubwa sana. Ameshaona mbele na kwa vile wamezoea kupiga mali ya umma huwezi jua huenda wasiache. kwa nini uteseke
 
ondokeni kwa magamba/escrow njooni kwenye utu na uzima wa kweli UKAWA
 
Watanzania wote wazalendo wanapaswa kuisusa ccm na kuikacha mara moja. Wanaopaswa kubaki ccm ni kina chenge, tibaijuka,mkono, ngeleja, jk , muhongo na vibaraka wao wengine. Hawa watagawana mbao za ccm siku ikifika.
 
CCM Haipo tena kilichopo ni ESCROW na watanzania wengi hawaijui Escrow hivyo tuwaachie wenye escrow twende kwa wanaukombozi wa Taifa letu CHADEMA!
 
mafuriko hubeba magogo,miti na kila takataka
wanachedema tusifurahie sana huo ukoo kuamia pande zetu maana watakuja na mbinu zilezile za wizi
 
Back
Top Bottom