harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,887
- 1,361
Imedhibitika kwamba CCM imedhamiria kuhakikisha mbunge wa Rombo Mh.Selasini harudi baada ya uchaguzi ujao. Hii ni kutokana na mkakati waliouweka baada ya kufanya tathmini ya uchaguzi mdogo uliopita.
Pamoja na hayo jimbo la Rombo linaonekana lina changamoto nyingi hivyo kuhitaji Mbunge kijana na makini ili kumudu mikiki ya eneo husika.
Katika kuchunguza ukweli wa hili mchunguzi wetu alipita maeneo ya kata ya mahango na nguduni na kujaribu kuzungumza na baadhi wa kazi ambao walilaumu kwamba kuna tatizo sugu la maji ambalo halijashughulikiwa kwa kipindi kirefu.
Hii inaonyesha kwamba Mbunge aliyepo ameshindwa achilia mbali changamoto ya maji bado kuna tatizo la uhaba wa madawati na matatizo mengine ya kielimu yanayoonyesha kwamba ameshindwa kuchapa kazi ipasavyo.
Nawasilisha
Pamoja na hayo jimbo la Rombo linaonekana lina changamoto nyingi hivyo kuhitaji Mbunge kijana na makini ili kumudu mikiki ya eneo husika.
Katika kuchunguza ukweli wa hili mchunguzi wetu alipita maeneo ya kata ya mahango na nguduni na kujaribu kuzungumza na baadhi wa kazi ambao walilaumu kwamba kuna tatizo sugu la maji ambalo halijashughulikiwa kwa kipindi kirefu.
Hii inaonyesha kwamba Mbunge aliyepo ameshindwa achilia mbali changamoto ya maji bado kuna tatizo la uhaba wa madawati na matatizo mengine ya kielimu yanayoonyesha kwamba ameshindwa kuchapa kazi ipasavyo.
Nawasilisha