CCM yaamua kumng`oa Selasini jimbo la Rombo

CCM yaamua kumng`oa Selasini jimbo la Rombo

Tuko umetumia kigezo gani Ndugu?

Kama wewe ni mzoefu wa siasa za Rombo utakuwa umegundua kuwa siasa za pale zimegawanyika kati ya Rombo kaskazini na Rombo kusini. Na kuwa Selasini "alibebwa" sana na Rombo kaskazini mwaka 2010.
Na kwamba hadi sasa Rombo kaskazini (yenye zaidi ya 60% ya wapiga kura) inamuamini Selasini. Na wengi wanaona kuwa CCM inajipanga kutokea kusini...

Sasa hapo malizia mwenyewe...
 
Last edited by a moderator:
Kama wewe ni mzoefu wa siasa za Rombo utakuwa umegundua kuwa siasa za pale zimegawanyika kati ya Rombo kaskazini na Rombo kusini. Na kuwa Selasini "alibebwa" sana na Rombo kaskazini mwaka 2010.
Na kwamba hadi sasa Rombo kaskazini (yenye zaidi ya 60% ya wapiga kura) inamuamini Selasini. Na wengi wanaona kuwa CCM inajipanga kutokea kusini...

Sasa hapo malizia mwenyewe...

Kuna kitu hapa umeongea watu wanabadilika. Ni kweli kaskazini ina watu wengi ila sehemu zote CCM ilikoshindwa ilikuwa ni kwa sababu ya makosa ya kiufundi tu unakuta mtu aliyehitajika na watu siye aliyeletwa kwa kura za maini angalia hata Arumeru kwa Nassari ndio hivyo.
Safari hii ni mziki maana hata Selasini amejisahau ameendelea kuwapendelea zaidi kaskazini kiutendaji kwa hiyo watu wa kusini wanaona wametengwa mstatizo ni mengi pia kusini.
Hapa kunahitajika jitihada na kujipanga maana ndio siasa na Selasini hatabiriki anaweza kurudi NCCR alikotoka akitoswa kwa kura za maoni.
 
Imedhibitika kwamba CCM imedhamiria kuhakikisha mbunge wa Rombo Mh.Selasini harudi baada ya uchaguzi ujao. Hii ni kutokana na mkakati waliouweka baada ya kufanya tathmini ya uchaguzi mdogo uliopita.

Pamoja na hayo jimbo la Rombo linaonekana lina changamoto nyingi hivyo kuhitaji Mbunge kijana na makini ili kumudu mikiki ya eneo husika.

Katika kuchunguza ukweli wa hili mchunguzi wetu alipita maeneo ya kata ya mahango na nguduni na kujaribu kuzungumza na baadhi wa kazi ambao walilaumu kwamba kuna tatizo sugu la maji ambalo halijashughulikiwa kwa kipindi kirefu.

Hii inaonyesha kwamba Mbunge aliyepo ameshindwa achilia mbali changamoto ya maji bado kuna tatizo la uhaba wa madawati na matatizo mengine ya kielimu yanayoonyesha kwamba ameshindwa kuchapa kazi ipasavyo.

Nawasilisha
[/QUOTE Chama kikongwe kama CCM hakipaswi ku deal na masuala ya kumwondo mtu bali kuleta maendeleo
 
Imedhibitika kwamba CCM imedhamiria kuhakikisha mbunge wa Rombo Mh.Selasini harudi baada ya uchaguzi ujao. Hii ni kutokana na mkakati waliouweka baada ya kufanya tathmini ya uchaguzi mdogo uliopita.

Pamoja na hayo jimbo la Rombo linaonekana lina changamoto nyingi hivyo kuhitaji Mbunge kijana na makini ili kumudu mikiki ya eneo husika.

Katika kuchunguza ukweli wa hili mchunguzi wetu alipita maeneo ya kata ya mahango na nguduni na kujaribu kuzungumza na baadhi wa kazi ambao walilaumu kwamba kuna tatizo sugu la maji ambalo halijashughulikiwa kwa kipindi kirefu.

Hii inaonyesha kwamba Mbunge aliyepo ameshindwa achilia mbali changamoto ya maji bado kuna tatizo la uhaba wa madawati na matatizo mengine ya kielimu yanayoonyesha kwamba ameshindwa kuchapa kazi ipasavyo.

Nawasilisha
[/QUOTE Chama kikongwe kama CCM hakipaswi ku deal na masuala ya kumwondo mtu bali kuleta maendeleo

Ss unategemea CCM isifanye siasa chama kitaendaje hapo? Lazima chama kiendelee na zhughuli zake kama kawaida vinginevyo CDM itachukua kila kila kitu kirahisi tu.
Hapo ndipo tunatenganisha shughuli za serikali na chama hata kama ni chama tawala
 
Ss unategemea CCM isifanye siasa chama kitaendaje hapo? Lazima chama kiendelee na zhughuli zake kama kawaida vinginevyo CDM itachukua kila kila kitu kirahisi tu.
Hapo ndipo tunatenganisha shughuli za serikali na chama hata kama ni chama tawala
nakubaliana na wewe tatizo ni kufanya hilo liwe jambo kuubwa. kama chama kitajitahidi kushugulikia matatizo ya wananchi mfano hilo suala maji. wanachi wakijua ni ccm imejitahidi wataipa zawadi ya kura
 
Imedhibitika kwamba CCM imedhamiria kuhakikisha mbunge wa Rombo Mh.Selasini harudi baada ya uchaguzi ujao. Hii ni kutokana na mkakati waliouweka baada ya kufanya tathmini ya uchaguzi mdogo uliopita.

Pamoja na hayo jimbo la Rombo linaonekana lina changamoto nyingi hivyo kuhitaji Mbunge kijana na makini ili kumudu mikiki ya eneo husika.

Katika kuchunguza ukweli wa hili mchunguzi wetu alipita maeneo ya kata ya mahango na nguduni na kujaribu kuzungumza na baadhi wa kazi ambao walilaumu kwamba kuna tatizo sugu la maji ambalo halijashughulikiwa kwa kipindi kirefu.

Hii inaonyesha kwamba Mbunge aliyepo ameshindwa achilia mbali changamoto ya maji bado kuna tatizo la uhaba wa madawati na matatizo mengine ya kielimu yanayoonyesha kwamba ameshindwa kuchapa kazi ipasavyo.

Nawasilisha

USHAURI WA BURE!

Ccm wahini kule pwani mkajiimarishe, huku mikoa ya wajanja hamna chenu, dont waste your time and other resources!
 
Kama wewe ni mzoefu wa siasa za Rombo utakuwa umegundua kuwa siasa za pale zimegawanyika kati ya Rombo kaskazini na Rombo kusini. Na kuwa Selasini "alibebwa" sana na Rombo kaskazini mwaka 2010.
Na kwamba hadi sasa Rombo kaskazini (yenye zaidi ya 60% ya wapiga kura) inamuamini Selasini. Na wengi wanaona kuwa CCM inajipanga kutokea kusini...

Sasa hapo malizia mwenyewe...
Unaongelea Kaskazini Ipi Ndugu ni Vyema ukaitaja kimaeneo.
 
mbona ccm mpo dar es salaam miaka nenda ludi na bado kwa sasa mwezi mzima hakuna maji
cc mzee tupa tupa wa lumumba
 
Kama wewe ni mzoefu wa siasa za Rombo utakuwa umegundua kuwa siasa za pale zimegawanyika kati ya Rombo kaskazini na Rombo kusini. Na kuwa Selasini "alibebwa" sana na Rombo kaskazini mwaka 2010.
Na kwamba hadi sasa Rombo kaskazini (yenye zaidi ya 60% ya wapiga kura) inamuamini Selasini. Na wengi wanaona kuwa CCM inajipanga kutokea kusini...

Sasa hapo malizia mwenyewe...

Kipindi kilichopita Chadema iliungwa mkono huko na Mashati ilikua ngome ya Mramba iliyogawanyika.Mashati ni tarafa yenye wapiga kura wengi zaidi hasa ukanda wa juu ikifuatiwa na Tarakea hasa tarakea mjini na nilichoona Selasini ameachia ngome yake hasa Tarakea mjini na Mashati anakotokea Ben.uchaguzi uliopita wagombea wote Selasini na Mramba walitokea mkuu.Frate anatokea Useri
 
Rombo hakuna mbunge. Jimbo ni sawa na lipo wazi

Hapo umenena wafikirie upya kuna mbunge anatakiwa kutoka kati yao
Na hilo halizuiliki kwa ss wamechoka sawa na wana Arusha na maandamano na mabomu
 
Kipindi kilichopita Chadema iliungwa mkono huko na Mashati ilikua ngome ya Mramba iliyogawanyika.Mashati ni tarafa yenye wapiga kura wengi zaidi hasa ukanda wa juu ikifuatiwa na Tarakea hasa tarakea mjini na nilichoona Selasini ameachia ngome yake hasa Tarakea mjini na Mashati anakotokea Ben.uchaguzi uliopita wagombea wote Selasini na Mramba walitokea mkuu.Frate anatokea Useri

Mkuu kama una nakala ya matokeo kata kwa kata hapo naomba uangalie tena...

1. Mashati haina wapiga kura wengi zaidi ya Tarakea. Tarakea ilikuwa na karibia nusu ya wapiga kura. Ukijumlisha na Usseri, especially Urauri, Ngaseni, Marongota, Kahe na Leto; tayari una zaidi ya 60 ya wapiga kura. Uchaguzi wa mwaka 1995 ulitoa picha halisi, kwani Tarakea na Usseri walibase kwa Salakana. Mashati wakabase kwa Ngalai na Mkuu na Mengwe wakabase kwa Mramba. Salakana alishinda kirahisi...

2. Hadi sasa Selasini ana strong hold Tarakea yote, mashima, Ngaseni, na Kahe, kuliko sehemu yeyote Rombo.

3. Mashati haitabiriki, na mara nyingi wanaangalia haiba ya mtu kuliko chama ama origin, hasa inapokuwa sio mtu wao. Lakini inapokuwa mtu wao. huwaambii kitu. Nadhani unakumbuka Ngalai alivyokuwa anatisha Mashati, pamoja na kwamba Mramba alikuwa favourite candidate...

4. Frate sio wa Usseri. Frate ni wa Tarakea, Nayeme. Kwa Tarakea Frate anaonekana kama "the best alternative" kama mgombea hatakuwa Selasini.

5. Usseri, hususani ukanda wa chini wenye wapiga kura wengi ni rahisi sana kushabihiana na maamuzi ya Tarakea. Refer uchaguzi wa 1995 utaona jinsi Salakana alivyobebwa na Usseri na Tarakea...

Comparison kati ya Ben na Frate...
Frate namfahamu "in and out", Ben namfahamu kupitia mitandao. In general, Ben will make a better MP than Frate... sio kwa maendeleo ya Rombo, bali kwa ujumla wa uhai na mchango wake kwa chama na taifa. Hata hivyo, kama tunataka kuangali mtu anayekubalika na atakayeweza kupambana na CCM ili jimbo libaki, Frate is far better than Ben. Frate amekulia Tarakea na anajulikana. Ukiuliza mtu yeyote Tarakea au Usseri atakwambia, yes, Frate anafaa, but asubiri kwanza Selasini aende kipindi kingine. Ukiwauliza kuhusu Ben, zaidi ya viongozi wa chama, kiukweli hawamjui.

Jipangeni...
 
Hapo umenena wafikirie upya kuna mbunge anatakiwa kutoka kati yao
Na hilo halizuiliki kwa ss wamechoka sawa na wana Arusha na maandamano na mabomu
utaota sana ccm tumeshaizika siku nyingi
 
USHAURI WA BURE!

Ccm wahini kule pwani mkajiimarishe, huku mikoa ya wajanja hamna chenu, dont waste your time and other resources!

wacha walete tuzitafune tena,nakumbuka watu walivokula milion 300 ya mramba pale especially maeneo ya mkuu na tarakea, huku wakihamasishana kumpigia kura selasini hatimaye baada ya matokeo kutangazwa walewale walokua wafuasi wa mramba wakapeperusha bendera za cdm,rombo hamna mjinga ukiingia kichwakichwa wawezachizika
 
Rombo ni kati ya majimbo yaliyofanya vizuri sana katika uchaguzi wa srikali za mitaa. ukiondoa jimbo la Tundu LLissu, Rombo ndilo jimbo lilofanya vizuri zaidi. sasa sijui hiyo tathimini umefanywaje, na kwa kutumia sempuli ipi?
 
Huelewi what you are posting to us,,,,,

Ccm has been in rombo for decades haijawahi kuwapa wananchi elimu, haijawapa maji wala haijui how those people are struggling to earn aliving!!!

Then keo chadema within have a decade unailaum haijafanya hayo ambayo ccm imeshindwa within 50years of rulling??????
Go a start a fresh,,, you are outdated!

THANKs KWA UDADAVUZI, KULA LIKES ZANGU MAZEE,
 
Rombo ni kati ya majimbo yaliyofanya vizuri sana katika uchaguzi wa srikali za mitaa. ukiondoa jimbo la Tundu LLissu, Rombo ndilo jimbo lilofanya vizuri zaidi. sasa sijui hiyo tathimini umefanywaje, na kwa kutumia sempuli ipi?

UMETUSAHAU NA BUKOBA, KTK UCHAGUZI TUMEWACHINJA MPAKA WAMEPOTEANA, NA MBUNGE KWA UKAWA NI NJIA NYEUPEEe
 
Back
Top Bottom