johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,980
Wengi wamekariri kuwa CCM hii ndio ile ile ya Baba wa Taifa Mwenyeheri Julius Nyerere, nawapa pole sana.
CCM ya sasa haina tofauti na Chadema, NCCR Mageuzi au ACT Wazalendo zaidi ya ile Dola iliyoegemea.
Ndio sababu unaona Tundu Antipas Lisu ana ushawishi mkubwa kuliko Wanasiasa karibia Wote wa CCM ukiwachanganya na ACT Wazalendo.
CCM fanyeni yote lakini msisahau nje ya DOLA mko Sawa kabisa na Hivi vyama vingine na Watanzania hawa siyo Wale tuliowakariri.
Ahsanteni sana 😄
CCM ya sasa haina tofauti na Chadema, NCCR Mageuzi au ACT Wazalendo zaidi ya ile Dola iliyoegemea.
Ndio sababu unaona Tundu Antipas Lisu ana ushawishi mkubwa kuliko Wanasiasa karibia Wote wa CCM ukiwachanganya na ACT Wazalendo.
CCM fanyeni yote lakini msisahau nje ya DOLA mko Sawa kabisa na Hivi vyama vingine na Watanzania hawa siyo Wale tuliowakariri.
Ahsanteni sana 😄