Ccm hawajawahi kuwa strong pahalaa popote pale. I stand to be correctedLeo hii mjini Tunduma wana chadema wameionyesha ccm kuwa bado wapo na chama chao na hivyo kuizima kabisa kabisa ccm.
Hiyo imekuja baada ya wana Tunduma maelfu kujitokeza kwenye mapokezi ya aliye kuwa mbunge wao mh Mwakajoka kwa shangwe na nderemo na kuufanya mji wa Tunduma kusimama kwa muda huku shughuli za uzalishaji mali zikisimama kwa muda.
Hii ni kuionyesha ccm kuwa kama walikuwa na ndoto za kulinyemelea jimbo hilo wasipoteze fedha zao na muda wao kwani wana Tunduma bado wapo na cdm. View attachment 1488796View attachment 1488797View attachment 1488798
10 Julai 2020
Dodoma, Tanzania
Nyufa ndani ya CCM, Makundi yaibuka
Tayari wana CCM ya Zamani wakiwakilishwa na MNEC toka Momba Songwe amefikisha ujumbe juu ya kutoridhika na CCM Mpya kuwasahau waliokipigania chama 2010 - 2015
CCM Ni DhaifuHizi picha ndio inaonesha CCM dhaifu, Bavicha mnakwama wapi?
Frank Mwakajoka akitoa hoja bungeni
Apr 2020 bungeni Dodoma mbunge Frank Mwakajoka akizungumza
Source : CHADEMA MEDIA TV
.Leo hii mjini Tunduma wana chadema wameionyesha ccm kuwa bado wapo na chama chao na hivyo kuizima kabisa kabisa ccm.
Hiyo imekuja baada ya wana Tunduma maelfu kujitokeza kwenye mapokezi ya aliye kuwa mbunge wao mh Mwakajoka kwa shangwe na nderemo na kuufanya mji wa Tunduma kusimama kwa muda huku shughuli za uzalishaji mali zikisimama kwa muda.
Hii ni kuionyesha ccm kuwa kama walikuwa na ndoto za kulinyemelea jimbo hilo wasipoteze fedha zao na muda wao kwani wana Tunduma bado wapo na cdm. View attachment 1488796View attachment 1488797View attachment 1488798
.Hizi picha ndio inaonesha CCM dhaifu, Bavicha mnakwama wapi?
.Muda huu Jimbo la Tuduma maelfu ya wananchi wajitokeza kwenye mkutano wa Mbunge aliemaliza muda wake, Mh. Frank Mwakajoka.
Alafu utasikia watu wanajidanganya kuwa cdm imekufa kisa kuwanunua wabunge na madiwani walio fika bei kwa uchu wa madaraka. View attachment 1495527View attachment 1495528
Hizi picha sio uthibitisho wa uhai. Vipi kama watu wamekuja kukuaga baada ya kufa? Kwani marehemu anaweza kupanga ni idadi gani ya watu waje kuaga?Muda huu Jimbo la Tuduma maelfu ya wananchi wajitokeza kwenye mkutano wa Mbunge aliemaliza muda wake, Mh. Frank Mwakajoka.
Alafu utasikia watu wanajidanganya kuwa cdm imekufa kisa kuwanunua wabunge na madiwani walio fika bei kwa uchu wa madaraka. View attachment 1495527View attachment 1495528
Tunduma, Songwe
Tanzania
MBUNGE WA JIMBO LA MBOZI PASCAL HAONGA (CHADEMA) KAANZA NA MPYA MWAKA 2020
Mbozi ni ngome mojawapo madhubuti ya CHADEMA, hali ya kisiasa Mbozi chini ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo wananchi wanaikubali sana na kuielewa, hakika wananchi wa Mbozi wanajisikia fahari kwao kuzienzi sera za demokrasia na maendeleo.