CCM Wilayani Tunduma “dhooful hali”

CCM Wilayani Tunduma “dhooful hali”

Wenzako Nakapanya kipindi hiki wanaandaa mashamba ya korosho na kuvuna mbaazi wewe unashinda hapo lumumba unauza kashata, huoni kuwa ni kukosa maarifa?
nimevuna ufuta Wa kutosha,nishapalilia mikorosho,nishapulizia sumu,nishapulizia mupavil,wiki ijayo napuliza sulphur.Nikipima korosho mwezi Wa 11 ntakutumia ununue walau banco.
 
Leo hii mjini Tunduma wana CHADEMA wameionyesha CCM kuwa bado wapo na chama chao na hivyo kuizima kabisa CCM.

Hiyo imekuja baada ya wana Tunduma maelfu kujitokeza kwenye mapokezi ya aliye kuwa Mbunge wao Mwakajoka kwa shangwe na nderemo na kuufanya mji wa Tunduma kusimama kwa muda huku shughuli za uzalishaji mali zikisimama kwa muda.

Hii ni kuionyesha CCM kuwa kama walikuwa na ndoto za kulinyemelea jimbo hilo wasipoteze fedha zao na muda wao kwani wana Tunduma bado wapo na CHADEMA. View attachment 1488796View attachment 1488797View attachment 1488798
😆😆😆😆
 
Jitahidi kujikomboa mkuu wenzako hapo lumumba wananufaika lkn siyo wewe kuuza kashata
nimevuna ufuta Wa kutosha,nishapalilia mikorosho,nishapulizia sumu,nishapulizia mupavil,wiki ijayo napuliza sulphur.Nikipima korosho mwezi Wa 11 ntakutumia ununue walau banco.
 
Leo hii mjini Tunduma wana CHADEMA wameionyesha CCM kuwa bado wapo na chama chao na hivyo kuizima kabisa CCM.

Hiyo imekuja baada ya wana Tunduma maelfu kujitokeza kwenye mapokezi ya aliye kuwa Mbunge wao Mwakajoka kwa shangwe na nderemo na kuufanya mji wa Tunduma kusimama kwa muda huku shughuli za uzalishaji mali zikisimama kwa muda.

Hii ni kuionyesha CCM kuwa kama walikuwa na ndoto za kulinyemelea jimbo hilo wasipoteze fedha zao na muda wao kwani wana Tunduma bado wapo na CHADEMA. View attachment 1488796View attachment 1488797View attachment 1488798
Chadema ni kama corona. Inatisha sana. haipimiki kwa DNA
 
Jitahidi kujikomboa mkuu wenzako hapo lumumba wananufaika lkn siyo wewe kuuza kashata
Wakati mwingine sikiliza hats usichopenda kusikia.Nakuhakiishia upinzani hawatapata jimbo moja mkoa Wa songwe na Mbeya.Siyo kwa matakwa ya the ruled Bali kwa matakwa ya the rulers.Ukiniita Lumumba utajua mwenyewe.
 
Wewe ni lumumba tu maana huna hoja kama mazuzu wenzako kina@kipara kipya.
Wakati mwingine sikiliza hats usichopenda kusikia.Nakuhakiishia upinzani hawatapata jimbo moja mkoa Wa songwe na Mbeya.Siyo kwa matakwa ya the ruled Bali kwa matakwa ya the rulers.Ukiniita Lumumba utajua mwenyewe.
 
Ndiyo kazi zenu nyie wanyonge ambao mmekubari kuitwa hilo jina na baba yenu
Nzuri Sana
Kama kupitia hiyo kazi mkono unaenda kinywani,watoto wanasoma shule angalau nzuri,sidaiwi kodi ya nyumba,sitembei kwa miguu basi namshukuru Mungu.

Kahawa for life
 
Wewe ni lumumba tu maana huna hoja kama mazuzu wenzako kina@kipara kipya.
sawa tunakusikiliza wewe mwenye hoja.
Ninachokijua kenge huwa haoni hatari mpaka damu imtoke puani.
 
Unataka kututhibitisha kuwa wewe ndiyo kati ya watu wanao wadhulu wenzao kwa kuwatoa damu na kuwaachia ulemavu kisa itikadi?
sawa tunakusikiliza wewe mwenye hoja.
Ninachokijua kenge huwa haoni hatari mpaka damu imtoke puani.
 
Unataka kututhibitisha kuwa wewe ndiyo kati ya watu wanao wadhulu wenzao kwa kuwatoa damu na kuwaachia ulemavu kisa itikadi?
Hayo umeyasema wewe,nasubiri hoja kutoka kwako mtaalamu Wa hoja.

Na kamwe usifikiri kila mwenye kueleza uhalisia (siyo ukweli,nazungumzia uhalisia) yuko kwenye mlengo unaoufikiri wewe.

Kubali kuusema uhalisia hata Kama unaumiza.

kwaheri kwa sasa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom