CCM Wilayani Tunduma “dhooful hali”

CCM Wilayani Tunduma “dhooful hali”

Hizi picha zinamfanya Jiwe ajione alikuwa anatwanga maji kwenye kinu kwa miaka hii mitano ya kujaribu kuua upinzani.
 
Akili yao iliwatuma kuwa, wakinunua makapi yatakuwa yakifuatwa na wanachama! watapata tabu sana na ubaya ni kwamba watu wamehifadhi hasira vifuani, utakuwa mtifuano ambao hawakuutarajia!
Ubongo wa mnyama NYUMBU ni mdogo sana HURITHISHA MAKOSA YA BABU ZAKE KWA WAJUKUU ZAKE....

Mwezi wa 7 KIPINDI Cha mfungo wa ramadhani ya mwaka 2014 pale WHITE HOUSE jijini DODOMA, 70% ya wajumbe wa NEC ya CCM WALISHINDWA KUMUOKOA MH.LOWASSA ASICHINJWE NA KISU CHA BAMBARA hatimaye akapokekewa CDM and the REST WAS HISTORY.....

Itakuwa mh.Membe?😂😂😂😂😂
 
broo unatumia itel A11 au tecno Y3 au smart kitoch?
 
Acha ujinga, usitumie rejea za wajinga!

UJINGA wa LIJUALIKALI ilikuwa kuhoji MATUMIZI YA MAKATO YA MSHAHARA WAKE baada ya KUTORIDHISHWA na MAELEZO.....

UJINGA wa LIJUALIKALI ilikuwa kuhoji KUTOTAARIFIWA NA KUTOHOJIWA kabla ya kufukuzwa CHAMA.....MEMBE YEYE ALIONYWA NA KUHOJIWA TOKA 2014 NA HII MARA YA MWISHO kabla hajawa mbwabwaji ASIYE NA CHAMA....

Kakaaaa Karibu FARU JOHN ya mwenyeeekitiakeeeeeee!!!
 
Ubongo wa mnyama NYUMBU ni mdogo sana HURITHISHA MAKOSA YA BABU ZAKE KWA WAJUKUU ZAKE....

Mwezi wa 7 KIPINDI Cha mfungo wa ramadhani ya mwaka 2014 pale WHITE HOUSE jijini DODOMA, 70% ya wajumbe wa NEC ya CCM WALISHINDWA KUMUOKOA MH.LOWASSA ASICHINJWE NA KISU CHA BAMBARA hatimaye akapokekewa CDM and the REST WAS HISTORY.....

Itakuwa mh.Membe?😂😂😂😂😂
Hata ya mavi ya kale Yana harufu! Unazijua mparanganyiko uliopo sebuleni kwa ccm? Kwa kuanzia hesabu watia Nia kutoka visiwani Zanzibar Kisha useme idadi hiyo inaashiria nini! Huku bara Mambo siyo shwari kihivyo kwani sakata la membe liliipasua nec yenu Hadi wengine mkawalisha sumu! Fomu moja ya mgombea nayo imeleta sintofahamu na huenda wakamsusia ajipitishe mwenyewe!
Yapo mengi yanayokwenda kumkwamisha huyo yesu wenu kwani takwimu za polepole za 70% ndani ya ccm siyo poa na bado watu wanaendelea kulishwa sumu ili wamtapike! Karibu jf!
 
Ukianzia na wale kinamama wa lindi sasa huu mtiti wa Tunduma jamaa lazima aongee kilugha
Hizi picha zinamfanya Jiwe ajione alikuwa anatwanga maji kwenye kinu kwa miaka hii mitano ya kujaribu kuua upinzani.
 
Bonge la comment
Hata ya mavi ya kale Yana harufu! Unazijua mparanganyiko uliopo sebuleni kwa ccm? Kwa kuanzia hesabu watia Nia kutoka visiwani Zanzibar Kisha useme idadi hiyo inaashiria nini! Huku bara Mambo siyo shwari kihivyo kwani sakata la membe liliipasua nec yenu Hadi wengine mkawalisha sumu! Fomu moja ya mgombea nayo imeleta sintofahamu na huenda wakamsusia ajipitishe mwenyewe!
Yapo mengi yanayokwenda kumkwamisha huyo yesu wenu kwani takwimu za polepole za 70% ndani ya ccm siyo poa na bado watu wanaendelea kulishwa sumu ili wamtapike! Karibu jf!
 
Yaani wewe umejiunga juzi jf kuja kutuletea mauzauza?
UJINGA wa LIJUALIKALI ilikuwa kuhoji MATUMIZI YA MAKATO YA MSHAHARA WAKE baada ya KUTORIDHISHWA na MAELEZO.....

UJINGA wa LIJUALIKALI ilikuwa kuhoji KUTOTAARIFIWA NA KUTOHOJIWA kabla ya kufukuzwa CHAMA.....MEMBE YEYE ALIONYWA NA KUHOJIWA TOKA 2014 NA HII MARA YA MWISHO kabla hajawa mbwabwaji ASIYE NA CHAMA....

Kakaaaa Karibu FARU JOHN ya mwenyeeekitiakeeeeeee!!!
 
LIJUALIKALI alisema CDM si CHAMA Bali OPERA.....
Bado anaendelea kujiliza?
Kamshauri aende kwao haraka, akaanze kupambana kusaka ubunge, wakati wa maigizo uliishakwisha.
Alikoenda waliyonunuliwa hawana nafasi, watauchungulia uteuzi dirishani.
 
Ingizo jipya la kutoka izimbya mata
Ubongo wa mnyama NYUMBU ni mdogo sana HURITHISHA MAKOSA YA BABU ZAKE KWA WAJUKUU ZAKE....

Mwezi wa 7 KIPINDI Cha mfungo wa ramadhani ya mwaka 2014 pale WHITE HOUSE jijini DODOMA, 70% ya wajumbe wa NEC ya CCM WALISHINDWA KUMUOKOA MH.LOWASSA ASICHINJWE NA KISU CHA BAMBARA hatimaye akapokekewa CDM and the REST WAS HISTORY.....

Itakuwa mh.Membe?
 
Hata ya mavi ya kale Yana harufu! Unazijua mparanganyiko uliopo sebuleni kwa ccm? Kwa kuanzia hesabu watia Nia kutoka visiwani Zanzibar Kisha useme idadi hiyo inaashiria nini! Huku bara Mambo siyo shwari kihivyo kwani sakata la membe liliipasua nec yenu Hadi wengine mkawalisha sumu! Fomu moja ya mgombea nayo imeleta sintofahamu na huenda wakamsusia ajipitishe mwenyewe!
Yapo mengi yanayokwenda kumkwamisha huyo yesu wenu kwani takwimu za polepole za 70% ndani ya ccm siyo poa na bado watu wanaendelea kulishwa sumu ili wamtapike! Karibu jf!

Ni hivi majuzi WIZARA YA MIFUGO imetuhimiza tuwe tunakunywa MAZIWA ili tusisimue NEVA bongoni,tatizo lenu mnakunywa sana KILE KITU CHA MH.MWENYEKITI....
Hivi ni mara ngapi mtakumbushwa kuwa HUO WA KUMUACHA MGOMBEA MMOJA NI ADA NA DESTURI YA CCM!
KALAGHABAHO
 
Ingizo jipya la kutoka izimbya mata
Ubongo wa mnyama NYUMBU ni mdogo sana HURITHISHA MAKOSA YA BABU ZAKE KWA WAJUKUU ZAKE....

Mwezi wa 7 KIPINDI Cha mfungo wa ramadhani ya mwaka 2014 pale WHITE HOUSE jijini DODOMA, 70% ya wajumbe wa NEC ya CCM WALISHINDWA KUMUOKOA MH.LOWASSA ASICHINJWE NA KISU CHA BAMBARA hatimaye akapokekewa CDM and the REST WAS HISTORY.....

Itakuwa mh.Membe?
 
Bado anaendelea kujiliza?
Kamshauri aende kwao haraka, akaanze kupambana kusaka ubunge, wakati wa maigizo uliishakwisha.
Alikoenda waliyonunuliwa hawana nafasi, watauchungulia uteuzi dirishani.

Muuigizaji mkuu ni mh.mwenyekitiake,fundi wa FARU.....!!
 
Kuelekea October kuna maingizo mapya kupitia chakubanga

MZEE wa FARU John nakupa FAIDA tu...kwa wanaonijua vema upande wa VIJANA wa CCM huwa mm sikimbiagi vita Koko ya kitoto ISIYO HOJA kutoka chadema labda muje na MATUSI na ARGUMENTUM AD HOMINEM.
Karibu MCHUPA km ule wa mh.mwenyekitiakeeee!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom