CCM watumia mabus ya Upendo kusomba watu

CCM watumia mabus ya Upendo kusomba watu

Hizo si mbao za matangazo kwenye ofisi za watendaji wa Kata na ni matangao kwa wanacho wote, wizi uko wapi hapo?
 
Hebu fafanua crashwise. Mkulima akija na kitambulisho cha mpiga kura ili apate pembejeo, anaacha kitambulisho hicho au anarudi nacho nyumbani kwake? Nifafanulie hapo nielewe hii mbinu ya ukoo wa panya.

Hajui hata alichokiandika atatoa ufafanuzi gani?
 
Ha haa, sawa kabisa. Au awambie CHADEMA nao waweke tangazo lao kama hilo ambalo wataona linweza kuwa ni wizi wa kura.
Watu hawaangalii hata tangazo líná tarehe gani. JF sometimes tunakuwa mijinga fulani hivi
 
Hahahahaha.... Nimecheka kweli aisee... Kumbe mkwara wa RPC Mungi umepenya mpaka kwenye mfupa, maccm yamebadili style toka malori mpaka mabasi.
 
Last edited by a moderator:
Hebu fafanua crashwise. Mkulima akija na kitambulisho cha mpiga kura ili apate pembejeo, anaacha kitambulisho hicho au anarudi nacho nyumbani kwake? Nifafanulie hapo nielewe hii mbinu ya ukoo wa panya.
anakiacha kama dhamana...
 
Tangazo ni la Tarehe 5/12/2013. Mgimwa alifariki lini? Tume ya uchaguzi ikatangaza tarehe ya uchaguzi lini? Kampeni zilianza lini? Je tangazo kama hilo liko Jimbo la KALENGA pekee ambalo lina uchaguzi?

Najiondokea hizi mada zinazoanzishwa na watu wanaofikiria kwa kutumia MA.------
 
Tangazo inaonyesha limewekwa tarehe 5/12/2013. Nafikiri kipindi hicho hata Mgimwa senior alikuwa bado hai.

Cha kujiuliza kwa sasa hivi ni kwa namna gani hii njia inaweza kutumika kama kauchochoro ka kupotezea shahada za wananchi na kushindwa kupiga kura. Je wakitoa hizo shahada hawarudishiwi?
 
Ukikua kijana mdogo Kama wewe utakuwa mchawi kabisa ndio maana hakuna mchangiaji!

Sasa hayo ni mipango ya wana Kalenga katika kuthibiti voucher zao!

umevurugwa wewe,mipango ipi hiyo ya kuchukua shahada za kupigia kura???? Tuna uziefu na maeneo ya vijijini na tunapajua vizuri,kwa kukusaidia tu ni kuwa watu wa vijijini wanafahamiana tena hata kwa majina,kila kitongoji wanafahamiana hivyo si rahisi mtu kujichomeka!!!!
 
Ndio maana mi nasema CCM wanakosea sana mahesabu sometimes
..
 
ccm wajinga hawatafanikiwa kamwe chadema ni mpango wa Mungu lazma kalenga tutashinda kama arumeru
 
Tangazo ni la Tarehe 5/12/2013. Mgimwa alifariki lini? Tume ya uchaguzi ikatangaza tarehe ya uchaguzi lini? Kampeni zilianza lini? Je tangazo kama hilo liko Jimbo la KALENGA pekee ambalo lina uchaguzi?

Najiondokea hizi mada zinazoanzishwa na watu wanaofikiria kwa kutumia MA.------
Mgimwa alisha malizwa siku nyingi na watu wakaanza maandalizi akiwemo Kandoro...chezea magamba wewe unabisha kamuulize mwakyembe aliye hongwa uwaziri baada ya kukoswakoswa na yeye...
 
Back
Top Bottom