CCM watumia mabus ya Upendo kusomba watu

CCM watumia mabus ya Upendo kusomba watu

Mojawapo ya namna CDM inavyoipa shida CCM ni kuwasababisha watumie gharama nyingi sana kubaki madarakani. Hii itawalazimisha waibe sana hela za umma ili kuendesha chama na at the end wanashindwa kutekeleza ilani, wanapigwa chini...
 
Hata ukija kwetu pembejeo unapata baada ya kuonesha kitambulisho cha mpiga kura!

Inasaidia sana kuthibiti Wizi wa pembejeo na walengwa wakinufaika kwa kiwango kikubwa
Kwanini isitumike barua ya serikari za mitaa,leseni za magari,pikipiki nk,kwanini inalengwa kitambulisho cha mpiga kura? kwani ni lazima kila mkulima awe mpiga kura? na kama jibu ni ndiyo ni kwa nini wenye mamlaka hawataki kufanya uboreshaji wa daftari la wapiga kura ili wale waliokosa nafasi hiyo adimu wajiandikishe?
Maswali ni mengi kuliko majibu,hivyo tukubaliane na atakayeamua kusema lolote juu ya tangazo hilo.
 
Kumbe ndio maana wapiga kura wanapunguwa kwa idadi kubwa mn kumbe wanajiiibia itafika wakati watabaki wapiga kura 1.5m
 
ccm inafanya siasa za kishamba sana ! HIKI CHAMA NI CHAKAVU SANA AISEE !
 
duuh hii nchi chini ya ccm tumeambulia laana tu...hata vtambulisho vya kupigia kura vinachezewa na wale chakavu?
 
Mgimwa alisha malizwa siku nyingi na watu wakaanza maandalizi akiwemo Kandoro...chezea magamba wewe unabisha kamuulize mwakyembe aliye hongwa uwaziri baada ya kukoswakoswa na yeye...

bila kupepesa macho , NAWEZA KUTAMKA KWAMBA WEWE NI KATI YA WANAJF WENYE AKILI SANA !
 
Hiki chama kinaonyesha ni namna gani kinayaweza maigizo ya kisiasa! Kwani kufanya mkutano na watu wa eneo husika na kujipima ili uone unakubalika vipi kwa watu husika tatizo ni nini?!

Ndio maana wanaelekeza nguvu nyingi kwenye matukio ya hovyo wakati wa uchaguzi, ngoja tuone wiki ya mwisho na siku moja kabla ya uchaguzi kama wataanza kutoa bastola na kukodi majangili watakao tishia watu na mapanga kama ilivyokuwa kule Igunga.
 
Watu wamekuwa wanajiuliza kwa nini namba ya wapiga kura huwa inapungua tofauti na idadi ya watu walioandikishwa?!Je ni kweli huwa watu hawajitokezi kupiga kura?

Majibu ni haya.

1. CCM hukusanya vitambulisho vya wapiga kura kwa njia za hila na kuanza kuvipitia kwa jina moja moja/majina kupitia mabalozi wao wa nyumba 10 na kubaini watu wa vyama vya upinzani au wasio unga mkono CCM. Wakibaini watu hao kwa njia ya pembejeo kama case study ya Kalenga au Mgawo wa mahindi kama walivyo fanya Igunga vitambulisho vya watu hao hutengwa pembeni na kuzuiwa mpaka uchaguzi utakapo kwisha, wakati mwingine vitisho hutumika kwa watu kuambiwa labda vitambulisho vyao viko kwa mkuu wa wilaya kwa ukaguzi, au viko kwa mkuu wa kituo cha Polisi kwa uhakiki wa maina.

2. Kununua viparata vya kupigia kura kwa watu ambao wana tamaa ya fedha au kuwapa fedha na zawadi mbalimbali ili wakaipigie kura CCM, Kuna baadhi ya maeneo kuna watu wamepewa mpaka rushwa za chumvi, magodoro na hata vyarahani vya kushonea (Mama Men.. alisha wahi kugawa vyarahani kwa kina mama wa Moshi mjini). Njia hizi huchangia kwa namna moja au nyingine kupunguza idadi ya wapiga kura. Na ndio zimekuwa zinatumia na CCm kupata ushindi bila wao kujali kuwa wana najisi misingi ya kidemokrasia na haki ya kuchagua na kuchaguliwa.
 
Tangazo inaonyesha limewekwa tarehe 5/12/2013. Nafikiri kipindi hicho hata Mgimwa senior alikuwa bado hai.

Cha kujiuliza kwa sasa hivi ni kwa namna gani hii njia inaweza kutumika kama kauchochoro ka kupotezea shahada za wananchi na kushindwa kupiga kura. Je wakitoa hizo shahada hawarudishiwi?

Hizo huwa hazirudi. zinapigwa kiberiti tu...
 
Mgimwa alisha malizwa siku nyingi na watu wakaanza maandalizi akiwemo Kandoro...chezea magamba wewe unabisha kamuulize mwakyembe aliye hongwa uwaziri baada ya kukoswakoswa na yeye...

Mkuu Crashwise hapa umenijuza kitu kaka.
Mission ilikuwa complete kwa Mgimwa kwahiyo watu wakaanza mikakati ya Kalenga mapema hata kabla mtu hajakata roho ila piga uwa walijua lazima afe hata kwa shoka watamuuwa tu, kwa Harisson mission ili-fail ikabidi ahongwe uwaziri. Duu!!
Kukaa CCM utaishi maisha ya taabu sana salama yako ni KUFA TU.
 
Last edited by a moderator:
Ni aibu kweli mambo yanayofanywa na hiki Chama. Kimeshakataliwa na kimebaki kuishi kwenye illusions

ImageUploadedByJamiiForums1393669383.349257.jpg

Kweli ni aibu hasa ukichukulia haya matokeo ya jimbo la Hai kwa Kamanda mpigaji mkuu
 
Back
Top Bottom