Ndugu wadau, gazeti la mwananchi la jana, 16/4/2011 lilikuwa na habari kuwa, yale majigambo ya ccm (nape) kuwa wamepokea wanachama 670 pale nyerere square dodoma kumbe walikuwa ni wanafunzi wa shule ya mbunge wa jimbo la dodoma inayoitwa central secondary school. Wanafunzi hao walipelewa ama bila kujua leo au kwa kulazimishwa. Ndiyo maana katika wale waliopokea kadi walikuwa ni watoto tu na mkubwa mmoja. Huenda ndiyo dalili za kuishiwa kwa chama hiki