Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,212
- 86,840
🖕🏿😹Dunia nzima wanafuatilia na kuchukua notes kujifunza kutoka kwa chama kongwe ambayo ni well ahead of time!
🖕🏿😹Dunia nzima wanafuatilia na kuchukua notes kujifunza kutoka kwa chama kongwe ambayo ni well ahead of time!
Kwani awamu yake ya kwanza au pili?, wale walikuwa awamu ya pili ndio maana walifanyiwa vile, huyu hana awamu kwanza ndio anatakiwa aanze kujipambaniaNi lazima aingie kwenye mchujo?..2020 magu aliingia na nani kwenye mchujo?.. jakaya 2010 aliingia na nani?.. mkapa 2000 aliingia na nani?
Duuh kwaio akikalie hicho kidole?
Hamna namna 😹Duuh kwaio akikalie hicho kidole?
Unapongeza kabla hujaona? Hivi ccm mlilogwa na nani? Mbona hata mkisoma mnaenekana hamnazo tu?Safi sana,well done! Sura za vijana zitakuwa nyingi sana!
Kumbe tatizo ni upumbavu wako tu uliojaa kichwani!!..kwa hiyo baada ya 2030 ataruhusiwa kugombea tena awamu ya pili!?Kwani awamu yake ya kwanza au pili?, wale walikuwa awamu ya pili ndio maana walifanyiwa vile, huyu hana awamu kwanza ndio anatakiwa aanze kujipambania
Mwambie akikichomoa kidole akinuse kwanza😂
Tuna ajenda na vijana mkuu,sijakurupuka,ni ajenda yetu ndani ya chamaUnapongeza kabla hujaona? Hivi ccm mlilogwa na nani? Mbona hata mkisoma mnaenekana hamnazo tu?
Mmetuharibia nchi kwa hizi akili za kufungia maandazi
lucas? mwanamke?Hongera Lucas Mwashambwa kwa kuchaguliwa kuipeperusha CCM udiwani wa viti maalum mbozi
Shida yangu, umepongeza kabla ya uteuzi na hujui hasa ni akina nani wameteuliwa.Tuna ajenda na vijana mkuu,sijakurupuka,ni ajenda yetu ndani ya chama
Halafu akikalie tena 😹Mwambie akikichomoa kidole akinuse kwanza😂
Akiguse na ulimi piaHalafu akikalie tena 😹
Hili furushi tulionewa sana kulitwishwa.Ila Samia ananifurahisha sana na tule tumashavu twake amekazana tu kuchuja wenzake hivi hawazi kuhusu yeye! Yaani kila nikimwangalia na kumtathmini nabanwa na kicheko. Mama Samia nakushukuru sana maana umetokea kunifurahisha sana.
Hv ni mimi tu huwa namtathmini, sijui kichwani kwake anawaza nini anavyochuja wenzake kwamba yeye anawaza nini kuhusu yeye.. hv ni kwamba hawazi kabisa au inakuwaje maana mimi simwelewi..Hili furushi tulionewa sana kulitwishwa.
Hamna mtu hapo anaendeshwa na mafisadi watafune nchi tu
Kamwanamke hata haya kidogo hanaIla Samia ananifurahisha sana na tule tumashavu twake amekazana tu kuchuja wenzake hivi hawazi kuhusu yeye! Yaani kila nikimwangalia na kumtathmini nabanwa na kicheko. Mama Samia nakushukuru sana maana umetokea kunifurahisha sana.
Hana hata habari angejua wananchi tulivo na hasira nae aisee huyu mamaHv ni mimi tu huwa namtathmini, sijui kichwani kwake anawaza nini anavyochuja wenzake kwamba yeye anawaza nini kuhusu yeye.. hv ni kwamba hawazi kabisa au inakuwaje maana mimi simwelewi..