Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Baada ya kuona upepo haupo tena upande wao na Jahazi la UKAWA linakwenda kwa kasi ya ajabu ,sasa CCM inarukia kila kinachowapitia mbele yao wakiamini kitawasaidia ,yaguju CCM inakwenda na kuburuzwa na maji na imeshapwelewa juhudi za kuikwamua zinaonekana kutofua dafu.
Machungu na ghadhabu walizonazo zinawapelekea kuganda na Lowasa kila wanapopita ni wao na Lowasa wamesahau kuwa Lowasa katoka kwenye choo kilichojaa na kutapakaa kuhamia kwenye nyumba safi.
Siasa za kistaarabu zimeanza kuwashinda na wameanza kuonyesha rangi yao halisi ya ubabe ,kupachua mabango kupachua bendera na kuzidi kutandaza uongo angalau waone kama hayo yatawasaidia lakini wapi MABADILIKO ni lazima na mabadiliko wanayohitajiwaTanzania wa leo ni kuona CCM inaondoka madarakani.
Mccm wasijidanganye mwaka huu wapange wapangavyo wanaenda zao ,mapingamizi Mungu kawalaani yamepigwa na chini,uchovu wa Slaa nao umeanza kuwadhuru.Sera za mgombea wao ni yale kwa yale tutajenga hospitali,tutajenga barabara ,sijui tutajenga hiki na kile ni yale kwa yale ya Kikwete na Mkapa ni yale yale yao ya CCM kupita wakidanganya wakiwadanganya wananchi safari hii hadanganyiki mtu CCM mtafute kazi za kupara miwa na kunywa maji yake ila kuipata serikali ya taifa la Tanzania ni kindende,halafu sahauni.
Machungu na ghadhabu walizonazo zinawapelekea kuganda na Lowasa kila wanapopita ni wao na Lowasa wamesahau kuwa Lowasa katoka kwenye choo kilichojaa na kutapakaa kuhamia kwenye nyumba safi.
Siasa za kistaarabu zimeanza kuwashinda na wameanza kuonyesha rangi yao halisi ya ubabe ,kupachua mabango kupachua bendera na kuzidi kutandaza uongo angalau waone kama hayo yatawasaidia lakini wapi MABADILIKO ni lazima na mabadiliko wanayohitajiwaTanzania wa leo ni kuona CCM inaondoka madarakani.
Mccm wasijidanganye mwaka huu wapange wapangavyo wanaenda zao ,mapingamizi Mungu kawalaani yamepigwa na chini,uchovu wa Slaa nao umeanza kuwadhuru.Sera za mgombea wao ni yale kwa yale tutajenga hospitali,tutajenga barabara ,sijui tutajenga hiki na kile ni yale kwa yale ya Kikwete na Mkapa ni yale yale yao ya CCM kupita wakidanganya wakiwadanganya wananchi safari hii hadanganyiki mtu CCM mtafute kazi za kupara miwa na kunywa maji yake ila kuipata serikali ya taifa la Tanzania ni kindende,halafu sahauni.