Kachina95
Member
- Mar 7, 2019
- 49
- 143
Tumefikia mahala watawala kutoka CCM hakuna kitu wanaogopa kama haki.
Wako tayari kuteka, kuua ama kupoteza watu ili kuzuia haki.
Tumefikaje hapa?
Hali itakuwaje kama wataendelea kutawala miaka 15 au 20 ijayo?
Kwanini hawataki kabisa haki itamalaki hapa nchini?
Wako tayari kuteka, kuua ama kupoteza watu ili kuzuia haki.
Tumefikaje hapa?
Hali itakuwaje kama wataendelea kutawala miaka 15 au 20 ijayo?
Kwanini hawataki kabisa haki itamalaki hapa nchini?