CCM WANAJIMWAGIA MAJI YA MOTO WANASEMA TINDIKALI

CCM WANAJIMWAGIA MAJI YA MOTO WANASEMA TINDIKALI

Arsenal Gunner

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
10,891
Reaction score
17,696
Siku ya Leo limetoka igizo Moja ya kiongozi wa ccm eti kamwagiwa TINDIKALI kumbe Yale ni maji ya moto wanaigiza Ili kupoza raia wasiingie ground tarehe 23 nasema hivi ccm acheni kuigiza mnajimwagia maji ya moto ambayo Kila siku tunayaoga mnaema eti kamwagiwa TINDIKALIwezi nyie
 
Saaa uliwahi kumwagiwa maji ya moto usoni ukawa sawa?

Hata hivyo,

Wasiojulikana ,watendao UOVU huo ni muhimu kujulikana na kushughulikiwa.
 
Ndio nimeshaigiza sana hapa kwenyewe nimetoka kuyaoga
Kama alimwagiwa maji ya moto unayoweza kuyaoga, basi Kweli ni maigizo,

Lakini angekuwa amemwagiwa maji moto ya kunyonyolea kuku, Si maigizo hayo.
 
Siku ya Leo limetoka igizo Moja ya kiongozi wa ccm eti kamwagiwa TINDIKALI kumbe Yale ni maji ya moto wanaigiza Ili kupoza raia wasiingie ground tarehe 23 nasema hivi ccm acheni kuigiza mnajimwagia maji ya moto ambayo Kila siku tunayaoga mnaema eti kamwagiwa TINDIKALIwezi nyie
Kwa akili ya kawaida hata wewe unaweza kukubali kumwagiwa maji ya moto usoni na mikononi ili ufanye maigizo?
 
Siku ya Leo limetoka igizo Moja ya kiongozi wa ccm eti kamwagiwa TINDIKALI kumbe Yale ni maji ya moto wanaigiza Ili kupoza raia wasiingie ground tarehe 23 nasema hivi ccm acheni kuigiza mnajimwagia maji ya moto ambayo Kila siku tunayaoga mnaema eti kamwagiwa TINDIKALIwezi nyie
Ni nani huyo?😂😂😂
 
Back
Top Bottom