Ndio wanafanya mkutano hivi sasa wanaongelea kuhusu hali ngumu ya maisha, kupanda kwa bei za vitu .wanasema eti inatokana na hali ya kisiasa zinazoendelea nchi za libya wanawaambia wananchi watofautisha kinachoendelea nchi za tunisia misri na libya na hapa kwetu tanzania.
Nilichokiona kwao wamepoa sana wapole sana zile siasa za majitaka hazipo
Nilichokiona kwao wamepoa sana wapole sana zile siasa za majitaka hazipo