chama cha mapinduzi kinafanya mkutano wake hapa tegeta kwa ndevu na ajenda kubwa ni kujibu hoja za chadema kuhusu dowans, mfumko wa bei, kupanda kwa ghalama za umeme, hizo ni taarifa nilizopata kutoka ndani ya uongozi wa chama lakini imekuwa ni siri kubwa mpaka saizi wana chama wamejikusanya na miziki ya taarabu inapigwa na wananchi wamesogea kwa ajili ya kutaka kujua nini kitazungumziwa hapa saizi lakini kwa taarifa za ndani zinasema mpaka saizi hata viongozi wa matawi awajajua ajenda ni nini na wao wamebaki wameshanga nitawapa taarifa mkutano utakapo anza na viongozi wao watakapofika,