kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
kweli hali mbaya ccm wanaandamana hapa dodoma wapo kame 50,wanatembea kama watu waliyokata tamaa kabisa,wengine wanaficha sura kama vile wamelazimisha.masikini CCM!
kweli hali mbaya ccm wanaandamana hapa dodoma wapo kame 50,wanatembea kama watu waliyokata tamaa kabisa,wengine wanaficha sura kama vile wamelazimisha.masikini CCM!
Wanalaani mfumuko wa bei au??
Chadema inatishia amani lakini CCM inaua kabisa nani hatari zaidi....maandamano ya uvccm wanaandamana kupinga kauli za uchochez zinazotolewa na vyama pinzani
wanasema hakunaga kama Ccm!!
Vijana wa bodaboda naona wasaidia kuamsha amsha lakn watu wachache
kitu ambacho nimeshangaa sjaona FFu na Mabomu ya machoz
mbona maandamano ya CDM naonaga FFU??
kweli hali mbaya ccm wanaandamana hapa dodoma wapo kame 50,wanatembea kama watu waliyokata tamaa kabisa,wengine wanaficha sura kama vile wamelazimisha.masikini CCM!
Ni Umoja wa vijana wa CCM Mkoa wa Dodoma ndio wanaoandamana
.....hebu nikumbusheni mikoa maskini kwenye nchi yenye mazima,matunda na asali,..!