Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,803
- 71,229
Tishio hili nadhani haliishii kwa waandishi wa Tanzania tuu,bali hata wale wa vyombo vya habari vya nje kama BBC,CNN nk. Jee vyombo hivyo mbona haviweki wazi tishio hili kwa uhuru wa habari katika vyao?
Wakati umefika sasa hao wawakilishi wao walipeleke hili kwenye vyombo vyao huko nje haraka kabla hizo roho zao hazijawa rehani.
Wakati umefika sasa hao wawakilishi wao walipeleke hili kwenye vyombo vyao huko nje haraka kabla hizo roho zao hazijawa rehani.