CCM wameanza kusuluhisha matatizo ya ndoa

CCM wameanza kusuluhisha matatizo ya ndoa

tpaul

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
25,832
Reaction score
25,138
Hatimaye chama kikongwe, sikivu na kinachotatua matatizo ya wananchi kwa wakati, wameanza kutoa huduma ya kutatua matatizo ya ndoa. Kama mke wako anakunyima unyumba, mchumba wako anakunyanyasa, hujaolewa au umeachika, usikate tamaa....CCM watakusaidia tatizo lako ndani ya muda mfupi.

Akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika mkoani Ruvuma, katibu wa itikadi, mafunzo na uenezi wa CCM, amesema wananchi wote wanaokumbwa na matatizo ya ndoa, wayafikishe mbele ya CCM na yatapata ufumbuzi wa haraka.
1000323705.jpg

MAONI YANGU
Asante sana CCM kwa kusikia kilio cha wananchi cha muda mrefu na kukifanyia kazi. Yale matatizo yaliyotusumbua kwa muda mrefu sasa yamepata ufumbuzi. Asante mama Samia kwa kuchaguliwa tena kwa kishindo (98%) kuongoza taifa hili. Mungu akubariki sana.

CC MamaSamia2025 ChoiceVariable Tlaatlaah Ritz Lucas mwashamba Lucas Mwashambwa
 
Hatimaye chama kikongwe, sikivu na kinachotatua matatizo ya wananchi kwa wakati, wameanza kutoa huduma ya kutatua matatizo ya ndoa. Kama mke wako anakunyima unyumba, mchumba wako anakunyanyasa, hujaolewa au umeachika, usikate tamaa....CCM watakusaidia tatizo lako ndani ya muda mfupi.

Akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika mkoani Ruvuma, katibu wa itikadi, mafunzo na uenezi wa CCM, amesema wananchi wote wanaokumbwa na matatizo ya ndoa, wayafikishe mbele ya CCM na yatapata ufumbuzi wa haraka.
View attachment 3556823
MAONI YANGU
Asante sana CCM kwa kusikia kilio cha wananchi cha muda mrefu na kukifanyia kazi. Yale matatizo yaliyotusumbua kwa muda mrefu sasa yamepata ufumbuzi. Asante mama Samia kwa kuchaguliwa tena kwa kishindo (98%) kuongoza taifa hili. Mungu akubariki sana.

CC MamaSamia2025 mia ChoiceVariable Tlaatlaah Ritz Lucas mwashamba Mwashambwa Lucas mwashamba
na mnaotelekeza watoto mtafikiwa tu gentleman,

kazi na utu,
tusonge mbele.
upendo, uaminifu na umoja katika familia ndio msingi wa maendeleo ya Taifa letu.

CCM ni ya familia, jumuiya na waTanzania wote.
CCM inawajibu wa kuleta amani palipo na migogoro, na furaha palipo na chuki.
 
na mnaotelekeza watoto mtafikiwa tu gentleman,

kazi na utu,
tusonge mbele.
upendo, uaminifu na umoja katika familia ndio msingi wa maendeleo ya Taifa letu.

CCM ni ya familia, jumuiya na waTanzania wote.
CCM inawajibu wa kuleta amani palipo na migogoro, na furaha palipo na chuki.
Sasa muanze pia kuwaoa wale wanawake waliokosa kuolewa kwa muda mrefu mkuu. Mtafanya jambo la maana sana.
 
Sasa muanze pia kuwaoa wale wanawake waliokosa kuolewa kwa muda mrefu mkuu. Mtafanya jambo la maana sana.
Tanzania ni nchi huru ya amani sana gentlema, na hakuna kinachoshindikana.
Kila raia yuko huru kuamua kuoa, kuolewa au kuishi singo, lakini sio kua liberal
 
Tanzania ni nchi huru ya amani sana gentlema, na hakuna kinachoshindikana.
Kila raia yuko huru kuamua kuoa, kuolewa au kuishi singo, lakini sio kua liberal
Ni lini sasa mtaanza kuwaoa wale wanawake waliokosa kuoelewa kwa muda mrefu mkuu? Au kuolewa na wanaume waliokosa kuoa kwa muda mrefu?
 
Sio kusuluhisha matatizo ya ndoa tena mkuu?
kusuluhisha migogoro ya ardhi, kutatua changamoto za maji, huduma za afya, huduma za elimu n.k ni mbinu muhimu sana CCM huitumia kuimarisha ndoa na familia za waTanzania.
 
CCM ni chama kilichobeba matumaini ya watanzania wote wakiwemo wanandoa
 
kusuluhisha migogoro ya ardhi, kutatua changamoto za maji, huduma za afya, huduma za elimu n.k ni mbinu muhimu sana CCM huitumia kuimarisha ndoa na familia za waTanzania.
Kutatua matatizo ya afya, maji nk hayo ni kama mmeshindwa, huenda haya ya ndoa ndio uwezo wenu ulipoishia.
 
Hatimaye chama kikongwe, sikivu na kinachotatua matatizo ya wananchi kwa wakati, wameanza kutoa huduma ya kutatua matatizo ya ndoa. Kama mke wako anakunyima unyumba, mchumba wako anakunyanyasa, hujaolewa au umeachika, usikate tamaa....UCCM watakusaidia tatizo lako ndani ya muda mfupi.

Akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika mkoani Ruvuma, katibu wa itikadi, mafunzo na uenezi wa CCM, amesema wananchi wote wanaokumbwa na matatizo ya ndoa, wayafikishe mbele ya CCM na yatapata ufumbuzi wa haraka.
View attachment 3556823
MAONI YANGU
Asante sana CCM kwa kusikia kilio cha wananchi cha muda mrefu na kukifanyia kazi. Yale matatizo yaliyotusumbua kwa muda mrefu sasa yamepata ufumbuzi. Asante mama Samia kwa kuchaguliwa tena kwa kishindo (98%) kuongoza taifa hili. Mungu akubariki sana.

CC MamaSamia2025 mia @@ChoiceVariable Tlaatlaah @@Ritz Lucas mwashamba Mwashambwa Lucas mwashamba
Focus-less ccm
 
Hatimaye chama kikongwe, sikivu na kinachotatua matatizo ya wananchi kwa wakati, wameanza kutoa huduma ya kutatua matatizo ya ndoa. Kama mke wako anakunyima unyumba, mchumba wako anakunyanyasa, hujaolewa au umeachika, usikate tamaa....CCM watakusaidia tatizo lako ndani ya muda mfupi.

Akizungumza na wananchi kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika mkoani Ruvuma, katibu wa itikadi, mafunzo na uenezi wa CCM, amesema wananchi wote wanaokumbwa na matatizo ya ndoa, wayafikishe mbele ya CCM na yatapata ufumbuzi wa haraka.
View attachment 3556823
MAONI YANGU
Asante sana CCM kwa kusikia kilio cha wananchi cha muda mrefu na kukifanyia kazi. Yale matatizo yaliyotusumbua kwa muda mrefu sasa yamepata ufumbuzi. Asante mama Samia kwa kuchaguliwa tena kwa kishindo (98%) kuongoza taifa hili. Mungu akubariki sana.

CC MamaSamia2025 ChoiceVariable Tlaatlaah Ritz Lucas mwashamba Lucas Mwashambwa
Wangeanza na tatizo la madawati
 
Back
Top Bottom