CCM wameanza kuihujumu Serikali ya UKAWA!

CCM wameanza kuihujumu Serikali ya UKAWA!

tpaul

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
26,021
Reaction score
25,422
Wakati UKAWA wakijipanga kuingia ikulu mwezi wa Oktoba, CCM wako bize kuvuruga mambo ili serikali ya UKAWA ije ikose rasilimali za kuendeshea nchi. Pamoja na hujuma hizi, CCM wameacha kutekeleza miradi mingi ya maendeleo kwa kisingizio kwamba Serikali ijayo (UKAWA) itayashughulikia.

Ushahidi wa hujuma hizi uko dhahiri kwa kila mtanzania mpenda maendeleo:

Mosi, thamani ya shilingi imeshuka kwa kiwango cha kutisha katika historia ya nchi hii. Wataalamu wa uchumi wanabainisha kwamba thamani ya shilingi imeshuka baada ya wahisani kupoteza imani na serikali ya CCM kufuatia ufisadi wao wa ESCROW na ufichaji wa mamilioni ya fedha ktk benki za Uswisi. CCM wanauvuruga uchumi kwa makusudi ili UKAWA wakiingia madarakani waanze kuurekebisha.

Pili, Serikali ya CCM imekataa kwa makusudi kutatua kero za wananchi na juzi Profesa Kikwete kasema kwamba mzigo huo ataiachia serikali ijayo (UKAWA).

Ukiunganisha haya matukio vizuri utagundua kwamba hizi ni hujuma za wazi kabisa dhidi ya serikali ya UKAWA.

:israel:
 
Wanataka kuturithisha skeleton ya nchi huku minofu washatafuna. Hatukubali kutuacha wanavyotaka
 
Acha bangi, Ukawa kushinda uchaguzi ni ndoto za alinacha

mkuu, tusipokuwa makini, ifikapo Oktoba serikali ya UKAWA wataikuta nchi iko UCHI kwani CCM watakuwa wameishajichotea kila kitu na kuondoka zao.

kuna taarifa kwamba kiasi kikubwa cha dhahabu iliyokuwa imehifadhiwa kule hazina kimetoweka katika mazingira ya kutatanisha. watanzania hatuwezi kukubali hujuma hizi zinazofanywa na serikali ya mafisadi (CCM). serikali ya wananchi (UKAWA) itakapoingia madarakani lazima hawa wezi (ukoo wa panya) waoneshe walikoficha dhahabu yetu.

CC: FaizaFoxy, Ritz, MUSSA ALLAN, Simiyu Yetu, [MENTION=37957] [MENTION=37957] Lizaboni, BAK, [/MENTION]., lusungo, Elli, [MENTION=41512]Mamndenyi[/MENTION) Mingoi, gsu, thatha, TataMadiba, MwanaDiwani, ukawa, CCM, t 2015 ccm
 
Last edited by a moderator:
mkuu, tusipokuwa makini, ifikapo Oktoba serikali ya UKAWA wataikuta nchi iko UCHI kwani CCM watakuwa wameishajichotea kila kitu na kuondoka zao.

kuna taarifa kwamba kiasi kikubwa cha dhahabu iliyokuwa imehifadhiwa kule hazina kimetoweka katika mazingira ya kutatanisha. watanzania hatuwezi kukubali hujuma hizi zinazofanywa na serikali ya mafisadi (CCM). serikali ya wananchi (UKAWA) itakapoingia madarakani lazima hawa wezi (ukoo wa panya) waoneshe walikoficha dhahabu yetu.

CCM walizoea kutoa majibu mepesi kwa watanzania lakini hawa wahisani wameamua kuwakomesha. Shillingi itaendelea kuporomoka na ukifika uchaguzi oktoba maisha yatakuwa magumu zaidi. Kwa maneno mengine watanzania watakua wamerahisishiwa kuiondoa CCM madarakani.
 
mkuu, tusipokuwa makini, ifikapo Oktoba serikali ya UKAWA wataikuta nchi iko UCHI kwani CCM watakuwa wameishajichotea kila kitu na kuondoka zao.

kuna taarifa kwamba kiasi kikubwa cha dhahabu iliyokuwa imehifadhiwa kule hazina kimetoweka katika mazingira ya kutatanisha. watanzania hatuwezi kukubali hujuma hizi zinazofanywa na serikali ya mafisadi (CCM). serikali ya wananchi (UKAWA) itakapoingia madarakani lazima hawa wezi (ukoo wa panya) waoneshe walikoficha dhahabu yetu.

CC: FaizaFoxy, Ritz, MUSSA ALLAN, Simiyu Yetu, MAHAkama ya kadhi, Lizaboni, BAK, NEEMA., lusungo, Elli, Mamndenyi, Mingoi, gsu

Unanikumbusha hotuba ya Mwinyi ya "mikuki miwili" aliposema kakabidhiwa nchi haina hata senti ya kigeni. Hohehahe.
 
CCM walizoea kutoa majibu mepesi kwa watanzania lakini hawa wahisani wameamua kuwakomesha. Shillingi itaendelea kuporomoka na ukifika uchaguzi oktoba maisha yatakuwa magumu zaidi. Kwa maneno mengine watanzania watakua wamerahisishiwa kuiondoa CCM madarakani.

Mungu anazidi kuwaumbua hawa wezi. Kiyama chao kinakaribia kabisa.
 
Unanikumbusha hotuba ya Mwinyi ya "mikuki miwili" aliposema kakabidhiwa nchi haina hata senti ya kigeni. Hohehahe.

umeona eeh? na ushahidi mwingine ni huu mgomo wa mabasi, ambapo kila siku nchi hupoteza tsh bilion 10. kwa kuwa hatujui mgomo huu uliosababishwa na CCM utaisha lini, nchi itadidimia kiuchumi kila siku kadri mgomo unavyodumu.

aidha, baada ya serikali kuvunja mkataba na selcom, nchi inapoteza tsh bilion 4 kila siku na selcom wamekimbilia mahakamani kudai mabilioni ya fidia...fedha zitakazotokana na kodi ya walalahoi. hakika nakuambia ifikapo oktoba nchi itakuwa inatika kama debe shinda.
 
Nakuonea huruma ww laki si pesa maana aliyekukaririsha ccm kubaki madarakani amebadilika.umebaki ww.
 
Wakati UKAWA wakijipanga kuingia ikulu mwezi wa Oktoba, CCM wako bize kuvuruga mambo ili serikali ya UKAWA ije ikose rasilimali za kuendeshea nchi. Pamoja na hujuma hizi, CCM wameacha kutekeleza miradi mingi ya maendeleo kwa kisingizio kwamba Serikali ijayo (UKAWA) itayashughulikia.

Ushahidi wa hujuma hizi uko dhahiri kwa kila mtanzania mpenda maendeleo:

Mosi, thamani ya shilingi imeshuka kwa kiwango cha kutisha katika historia ya nchi hii. Wataalamu wa uchumi wanabainisha kwamba thamani ya shilingi imeshuka baada ya wahisani kupoteza imani na serikali ya CCM kufuatia ufisadi wao wa ESCROW na ufichaji wa mamilioni ya fedha ktk benki za Uswisi. CCM wanauvuruga uchumi kwa makusudi ili UKAWA wakiingia madarakani waanze kuurekebisha.

Pili, Serikali ya CCM imekataa kwa makusudi kutatua kero za wananchi na juzi Profesa Kikwete kasema kwamba mzigo huo ataiachia serikali ijayo (UKAWA).

Ukiunganisha haya matukio vizuri utagundua kwamba hizi ni hujuma za wazi kabisa dhidi ya serikali ya UKAWA.

:israel:

Utalia sana mwaka huu, kama umeanza kulia mapema hivi ngoja ifike siku ya matokeo story zitakuwa zilezile za kila mwaka za tumeibiwa kura.
 
Last edited by a moderator:
Utalia sana mwaka huu, kama umeanza kulia mapema hivi ngoja ifike siku ya matokeo story zitakuwa zilezile za kila mwaka za tumeibiwa kura.

magamba mtahujumu sana lakini serikali ya ukawa ikiingia madarakani lazima mrejeshe rasilimali zote za umma mlizokwiba.
 
Kwasababu mimi ni mjeshi (Pure Soldier yaani sio commander maandazi). UKAWA ikishinda hapo October nitaungana na wafia nchi wengi ili kuwakamata mafisadi waliopo ndani ya CCM na wajukuu na wakwe wao wote ambao sasa wanagawana vyeo. Stay tuned October is coming most you ccm you will see the consequences.
 
Msianze visingizio mapema maana ndio za waafrika hizo,ukishashika madaraka yale uliokuwa ukibwabaja mikutanoni na bungeni ndio uyatekeleze hatutaki ngonjera hapo.
 
hivi kwa fedha kushuka kwa namna hiyo tutarajie itachukua muda gani hadi thamani ya shilingi kuwa imara mfano irudi kuwa 1usd kwa 1800tsh
 
mleta mada umelewa bange gani sijui, UKAWA waongoze nchi ipi? Hawa ni wasaka tonge tu
 
Kwasababu mimi ni mjeshi (Pure Soldier yaani sio commander maandazi). UKAWA ikishinda hapo October nitaungana na wafia nchi wengi ili kuwakamata mafisadi waliopo ndani ya CCM na wajukuu na wakwe wao wote ambao sasa wanagawana vyeo. Stay tuned October is coming most you ccm you will see the consequences.

acha biti, Ukawa ni tiketi ya kufa upinzani tz
 
Kwasababu mimi ni mjeshi (Pure Soldier yaani sio commander maandazi). UKAWA ikishinda hapo October nitaungana na wafia nchi wengi ili kuwakamata mafisadi waliopo ndani ya CCM na wajukuu na wakwe wao wote ambao sasa wanagawana vyeo. Stay tuned October is coming most you ccm you will see the consequences.

nimeikubali comment yako lakini c lzm kutumia kiinglishi kwan apo ni commotion tupu
 
Lakini tuakikishe tunajiandikisha. mqfisadi awa wa chama tawala hawatolewi kwa porojo jamani
 
Back
Top Bottom