waondoke waiache nchi yetu hivo hivo hata kama wameshaimaliza. Tutaijenga upya!Wanataka kuturithisha skeleton ya nchi huku minofu washatafuna. Hatukubali kutuacha wanavyotaka
Hatuwezi kukubali watumie rasilimali za nchi kujinufaisha wao,wake zao,mahawara zao na watoto wao,ole Wao ukawa wakichukua nchi hakika watazirudisha au wataenda kunyea debe,acha wajione wao ndo watu na wengine majitu oktoba sio mbali...Naitamani sana oktoba nioneshe hasira zangu.
UKAWA mna matatizo sana,kila siku mnakuja na stori za abunuwasi,hamna mashiko mmebaki kutapatapa.Sasa hiyo mwezi october mtaingiaje madarakani wakati mnasema CCM wanampango wa kujiongezea muda mpaka 2015?.
Njooni na facts acheni kuhororoja(from Faiza Foxy)