Watanzania
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 727
- 42
Kila kona ya Tanzania, Dr Slaa ameshakubalika, kuanzia mashariki, magharibi, kanda ya Ziwa, kanda ya kusini, kanda ya kaskazini, kanda ya kati mpaka Zanzibar.
JK ajiandae kuachia madaraka kuanzia sasa. Maana hata akiiba vipi kura, hawezi kuongoza wananchi wasiomtaka.
JK ajiandae kuachia madaraka kuanzia sasa. Maana hata akiiba vipi kura, hawezi kuongoza wananchi wasiomtaka.