CCM wako sahihi kuwasimamisha Mollel na Mtulia, CHADEMA walifanya hivyo kwa Lembeli, Ester Bulaya, Duni Haji na Lowassa

TataMadiba

JF-Expert Member
Feb 7, 2014
9,866
5,742
WanaCCM wanaounga mkono jitihada za kuijenga na kuiimarisha CCM wanatakiwa kujua na kutambua kuwa majimbo ya Kinondoni na Siha yalikuwa upinzani, siyo mara ya kwanza chama cha siasa kumsimamisha mgombea aliyetoka chama kingine cha siasa, Duni Haji, Lembeli, Ester Bulaya na wengineo wote walisimamishwa kugombea nafasi mbalimbali katika vyama vyao kwa mujibu wa katiba ya vyama vyao, sheria ya uchaguzi na kanuni zake, pamoja na kukidhi misingi ya kidemokrasi

Kuna mwingine mpaka alitaka kupewa urais wa nchi hii akiwa na siku moja tu ndani ya chama, halikuwa kosa hata kidogo maana katiba ya nchi, sheria ya uchaguzi, kanuni za uchaguzi na hata katiba za vyama husika ziliruhusu na zinaruhusu mpaka leo.

Majimbo yote mawili ya Kinondoni na Siha yalikuwa upinzani, kutokana na heshima kubwa ambayo chama cha mapinduzi kimejijengea baada ya jitihada zake za kujisahihisha na kujirekebisha kutokana na makosa ya nyuma, ni dhahiri kuwa CCM itashinda majimbo hayo maana wananchi wanaitambua kazi kubwa inayofanywa na Magufuli na serikali yake ya CCM ya awamu 5 ktk kuwaletea wananchi maendeleo na kupambana na ufisadi uliotapakaa kila kona
 
Uko sahihi katika hili.
But sio kila lililofanywa na wapinzani basi na ccm iige kwa kuwa tambua ccm ni chama kikubwa na kikongwe ambacho vyama vingine vinatakiwa kuiga kwake.
 
WanaCCM wanaounga mkono jitihada za kuijenga na kuiimarisha CCM wanatakiwa kujua na kutambua kuwa majimbo ya Kinondoni na Siha yalikuwa upinzani, siyo mara ya kwanza chama cha siasa kumsimamisha mgombea aliyetoka chama kingine cha siasa, Duni Haji, Lembeli, Ester Bulaya na wengineo wote walisimamishwa kugombea nafasi mbalimbali katika vyama vyao kwa mujibu wa katiba ya vyama vyao, sheria ya uchaguzi na kanuni zake, pamoja na kukidhi misingi ya kidemokrasi

Kuna mwingine mpaka alitaka kupewa urais wa nchi hii akiwa na siku moja tu ndani ya chama, halikuwa kosa hata kidogo maana katiba ya nchi, sheria ya uchaguzi, kanuni za uchaguzi na hata katiba za vyama husika ziliruhusu na zinaruhusu mpaka leo.

Majimbo yote mawili ya Kinondoni na Siha yalikuwa upinzani, kutokana na heshima kubwa ambayo chama cha mapinduzi kimejijengea baada ya jitihada zake za kujisahihisha na kujirekebisha kutokana na makosa ya nyuma, ni dhahiri kuwa CCM itashinda majimbo hayo maana wananchi wanaitambua kazi kubwa inayofanywa na Magufuli na serikali yake ya CCM ya awamu 5 ktk kuwaletea wananchi maendeleo na kupambana na ufisadi uliotapakaa kila kona
Scenario tofauti hawa Jamaa wamehongwa na mkubwa usichanganye kama msimu au mkataba unapoisha mchezaji akawa guru kutafuta timu nyingine
 
Kudadadeki... kumbe kweli mnaparuana huko kuhusu kusimamisha watu waliotoka upinzani na kuwaacha wenye CCM yao!!!

Sasa mbona umetoa mfano wa vyama vya upinzani wanaosimamisha wagombea waliotoka CCM wakati hoja ni CCM kusimamisha wagombea waliotoka upinzani?!

Kwa kukusaidia tu... ongeza na Mrema from CCM to NCCR, Dr. Slaa from CCM to CHADEMA, Shibuda from CCM to CHADEMA n.k!

Inaonekana wenzenu hawana ubaguzi na wahamiaji wapya!

Unaonaje basi ukituwekea mifano hai ya hapo kabla CCM kusimamisha wagombea ambao ndio kwanza wameutema upinzani na kuingia CCM?

Wengine wanaona huu sio utamaduni wenu! Kwamba, mmeuanzisha ili kufanya ghiriba kwa wabunge wengi zaidi kutoka upinzani kwa kuwaaminisha, wasiwe na hofu manake wakija CCM, watapewa tena nafasi ya kugombea kama ilivyokuwa Kinondoni na Siha!

Fumbo Mfumbe Mjinga...
 
..kuku anakunya, ila bata akinya mnadai kaharisha.

Ninajua una ushabiki ila sikutarajia ushindwe kumuambia hao wakina Bulaya, Lowassa nk hawakusimamishwa kwenye uchaguzi wa marudio usio na lazima kwa sababu za kupuuzi. Hao hata kama wangeendelea kuwa wanaccm uchaguzi ungefanyika tu. Kwa ufupi wakati ule ulikuwa ni sahihi mtu yoyote kugombea kupitia chama chochote na popote.
 
WA
WanaCCM wanaounga mkono jitihada za kuijenga na kuiimarisha CCM wanatakiwa kujua na kutambua kuwa majimbo ya Kinondoni na Siha yalikuwa upinzani, siyo mara ya kwanza chama cha siasa kumsimamisha mgombea aliyetoka chama kingine cha siasa, Duni Haji, Lembeli, Ester Bulaya na wengineo wote walisimamishwa kugombea nafasi mbalimbali katika vyama vyao kwa mujibu wa katiba ya vyama vyao, sheria ya uchaguzi na kanuni zake, pamoja na kukidhi misingi ya kidemokrasi

Kuna mwingine mpaka alitaka kupewa urais wa nchi hii akiwa na siku moja tu ndani ya chama, halikuwa kosa hata kidogo maana katiba ya nchi, sheria ya uchaguzi, kanuni za uchaguzi na hata katiba za vyama husika ziliruhusu na zinaruhusu mpaka leo.

Majimbo yote mawili ya Kinondoni na Siha yalikuwa upinzani, kutokana na heshima kubwa ambayo chama cha mapinduzi kimejijengea baada ya jitihada zake za kujisahihisha na kujirekebisha kutokana na makosa ya nyuma, ni dhahiri kuwa CCM itashinda majimbo hayo maana wananchi wanaitambua kazi kubwa inayofanywa na Magufuli na serikali yake ya CCM ya awamu 5 ktk kuwaletea wananchi maendeleo na kupambana na ufisadi uliotapakaa kila kona
KATI LOWASA ANAINGIA CDM ALIKUWA NA CHEO GANI CCM?
 
WanaCCM wanaounga mkono jitihada za kuijenga na kuiimarisha CCM wanatakiwa kujua na kutambua kuwa majimbo ya Kinondoni na Siha yalikuwa upinzani, siyo mara ya kwanza chama cha siasa kumsimamisha mgombea aliyetoka chama kingine cha siasa, Duni Haji, Lembeli, Ester Bulaya na wengineo wote walisimamishwa kugombea nafasi mbalimbali katika vyama vyao kwa mujibu wa katiba ya vyama vyao, sheria ya uchaguzi na kanuni zake, pamoja na kukidhi misingi ya kidemokrasi

Kuna mwingine mpaka alitaka kupewa urais wa nchi hii akiwa na siku moja tu ndani ya chama, halikuwa kosa hata kidogo maana katiba ya nchi, sheria ya uchaguzi, kanuni za uchaguzi na hata katiba za vyama husika ziliruhusu na zinaruhusu mpaka leo.

Majimbo yote mawili ya Kinondoni na Siha yalikuwa upinzani, kutokana na heshima kubwa ambayo chama cha mapinduzi kimejijengea baada ya jitihada zake za kujisahihisha na kujirekebisha kutokana na makosa ya nyuma, ni dhahiri kuwa CCM itashinda majimbo hayo maana wananchi wanaitambua kazi kubwa inayofanywa na Magufuli na serikali yake ya CCM ya awamu 5 ktk kuwaletea wananchi maendeleo na kupambana na ufisadi uliotapakaa kila kona
Umesoma mpaka darasa la ngapi? Poor reasoning
 
Katiba ya CCM inasemaje katika kumsimamisha mgombea au kupata madaraka kutoka chama kingine anatakiwa kuwa mwanachama kwa Muda Gani?
 
Ninajua una ushabiki ila sikutarajia ushindwe kumuambia hao wakina Bulaya, Lowassa nk hawakusimamishwa kwenye uchaguzi wa marudio usio na lazima kwa sababu za kupuuzi. Hao hata kama wangeendelea kuwa wanaccm uchaguzi ungefanyika tu. Kwa ufupi wakati ule ulikuwa ni sahihi mtu yoyote kugombea kupitia chama chochote na popote.
Unashindwa ona kiini cha tatizo sababu ya ushabiki.
Kwa nini madiwani wenu na wabunge wenu "WANUNULIKE"??
Sijui unaliona tatizo hapa la chama makini??
 
Akili za vijana wa ccm shidah kweli kweli haswa linapo kuja suala wa nyakati!! kutofautisha usiku na mchana huwa wana pata shidah kweli kweli adi waitane wote lumumba!!!
 
WanaCCM wanaounga mkono jitihada za kuijenga na kuiimarisha CCM wanatakiwa kujua na kutambua kuwa majimbo ya Kinondoni na Siha yalikuwa upinzani, siyo mara ya kwanza chama cha siasa kumsimamisha mgombea aliyetoka chama kingine cha siasa, Duni Haji, Lembeli, Ester Bulaya na wengineo wote walisimamishwa kugombea nafasi mbalimbali katika vyama vyao kwa mujibu wa katiba ya vyama vyao, sheria ya uchaguzi na kanuni zake, pamoja na kukidhi misingi ya kidemokrasi

Kuna mwingine mpaka alitaka kupewa urais wa nchi hii akiwa na siku moja tu ndani ya chama, halikuwa kosa hata kidogo maana katiba ya nchi, sheria ya uchaguzi, kanuni za uchaguzi na hata katiba za vyama husika ziliruhusu na zinaruhusu mpaka leo.

Majimbo yote mawili ya Kinondoni na Siha yalikuwa upinzani, kutokana na heshima kubwa ambayo chama cha mapinduzi kimejijengea baada ya jitihada zake za kujisahihisha na kujirekebisha kutokana na makosa ya nyuma, ni dhahiri kuwa CCM itashinda majimbo hayo maana wananchi wanaitambua kazi kubwa inayofanywa na Magufuli na serikali yake ya CCM ya awamu 5 ktk kuwaletea wananchi maendeleo na kupambana na ufisadi uliotapakaa kila kona
Nilikuwa nakuheshimu kumbe ndio uko hivi?

Wale akina Bulaya hawakujiuzulu bali muda uliisha, hawa wamejiuzulu ni mazingira tofauti ya utokaji wao hivyo huwezi fananisha hayo mazingira
 
WanaCCM wanaounga mkono jitihada za kuijenga na kuiimarisha CCM wanatakiwa kujua na kutambua kuwa majimbo ya Kinondoni na Siha yalikuwa upinzani, siyo mara ya kwanza chama cha siasa kumsimamisha mgombea aliyetoka chama kingine cha siasa, Duni Haji, Lembeli, Ester Bulaya na wengineo wote walisimamishwa kugombea nafasi mbalimbali katika vyama vyao kwa mujibu wa katiba ya vyama vyao, sheria ya uchaguzi na kanuni zake, pamoja na kukidhi misingi ya kidemokrasi

Kuna mwingine mpaka alitaka kupewa urais wa nchi hii akiwa na siku moja tu ndani ya chama, halikuwa kosa hata kidogo maana katiba ya nchi, sheria ya uchaguzi, kanuni za uchaguzi na hata katiba za vyama husika ziliruhusu na zinaruhusu mpaka leo.

Majimbo yote mawili ya Kinondoni na Siha yalikuwa upinzani, kutokana na heshima kubwa ambayo chama cha mapinduzi kimejijengea baada ya jitihada zake za kujisahihisha na kujirekebisha kutokana na makosa ya nyuma, ni dhahiri kuwa CCM itashinda majimbo hayo maana wananchi wanaitambua kazi kubwa inayofanywa na Magufuli na serikali yake ya CCM ya awamu 5 ktk kuwaletea wananchi maendeleo na kupambana na ufisadi uliotapakaa kila kona

Hao waliotoka walijiuzulu Ubunge au walihama chama?Endelea kuula hapo kwenye hicho cheo ulichopewa haya mengine tuachie walalahoi
 
WanaCCM wanaounga mkono jitihada za kuijenga na kuiimarisha CCM wanatakiwa kujua na kutambua kuwa majimbo ya Kinondoni na Siha yalikuwa upinzani, siyo mara ya kwanza chama cha siasa kumsimamisha mgombea aliyetoka chama kingine cha siasa, Duni Haji, Lembeli, Ester Bulaya na wengineo wote walisimamishwa kugombea nafasi mbalimbali katika vyama vyao kwa mujibu wa katiba ya vyama vyao, sheria ya uchaguzi na kanuni zake, pamoja na kukidhi misingi ya kidemokrasi

Kuna mwingine mpaka alitaka kupewa urais wa nchi hii akiwa na siku moja tu ndani ya chama, halikuwa kosa hata kidogo maana katiba ya nchi, sheria ya uchaguzi, kanuni za uchaguzi na hata katiba za vyama husika ziliruhusu na zinaruhusu mpaka leo.

Majimbo yote mawili ya Kinondoni na Siha yalikuwa upinzani, kutokana na heshima kubwa ambayo chama cha mapinduzi kimejijengea baada ya jitihada zake za kujisahihisha na kujirekebisha kutokana na makosa ya nyuma, ni dhahiri kuwa CCM itashinda majimbo hayo maana wananchi wanaitambua kazi kubwa inayofanywa na Magufuli na serikali yake ya CCM ya awamu 5 ktk kuwaletea wananchi maendeleo na kupambana na ufisadi uliotapakaa kila kona



Ni lini CHADEMA walisimamisha mgombea aliyetoka CCM ambaye amejiuzulu ubunge na kisha kurudi haraka sana kugombea kwenye jimbo lilelile?
 
Unashindwa ona kiini cha tatizo sababu ya ushabiki.
Kwa nini madiwani wenu na wabunge wenu "WANUNULIKE"??
Sijui unaliona tatizo hapa la chama makini??

Sidhani unachosema hapa ndio hoja ya mleta uzi. Ila jibu ya hiki ulichokimbilia ni kwamba hakuna mkate mgumu mbele ya chai.
 
Back
Top Bottom