Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,054
- 3,263
ahhahahahahahahaa
What___ you mean?
Aisee comment ya mtoto inamgusa adi mama mtu mzima kama wewe
Much appreciation to me
what does you mean?
We Jinyonge tu, CCM ndio chama cha wa watanzania. Watanzania wengi wanaisapoti CCM kutokana na sera zake ambazo zinatekelezeka.
Unafikiri inanigusa?
Nimeandika kukuonea hiruma ukapumzike maana hata wanachoandika magaidi wenzio hukielewi unaguna hovyo hovyo tuu..
Hapa sio size yako
Nashukuru kwa kuwa nimekuwa kenge mwenye kustahili kujibiwa na wewe. Kumbe wewe unao uwezo hata wa kujibizana na kenge? hongera sana. Naona wewe siyo mwanadamu wa kawaida kwani unaweza hata kuwasiliana na wanyama kama kina sisi huku.
We Jinyonge tu, CCM ndio chama cha wa watanzania. Watanzania wengi wanaisapoti CCM kutokana na sera zake ambazo zinatekelezeka.
Jamani video mpya iliyoongozwa na Nisher imetoka
Kweli we umechafukwa na roho
Tena vibaya mno....
Elizabeth Dominic naamini ukinipa/nikipewa fursa ya kuwa na wewe privately naweza kukubadilisha ukarudi kwenye msatari!