ferre.g
JF-Expert Member
- Mar 3, 2013
- 2,215
- 329
- Thread starter
- #21
nashukuru kk kalale kwanza ukiamka ndo utanjibuNashukuru kwa kuwa nimekuwa kenge mwenye kustahili kujibiwa na wewe. Kumbe wewe unao uwezo hata wa kujibizana na kenge? hongera sana. Naona wewe siyo mwanadamu wa kawaida kwani unaweza hata kuwasiliana na wanyama kama kina sisi huku.