Mario Gomez
JF-Expert Member
- Nov 1, 2011
- 821
- 588
We andaa mazishi na uanze kugawa urithi
au unatafuta sababu ya kufa
Sitashangaa nikisikia ume apply kamba Iringa tena?
We andaa mazishi na uanze kugawa urithi
au unatafuta sababu ya kufa
Kwa namna kampeni zinavokwenda... upepo unaelekea cdm kuwa washindi pamoja na kuwa mizengwe na visa vinafanyika dhidi ya cdm...
Naapa cdm ni washindi KALENGA.
We Jinyonge tu, CCM ndio chama cha wa watanzania. Watanzania wengi wanaisapoti CCM kutokana na sera zake ambazo zinatekelezeka.
Kalenga ccm wameshikwa mbavu ndiomana wanatumia mabavu naujasusi mkubwa wakudhuruwatu.Kwa namna kampeni zinavokwenda... upepo unaelekea cdm kuwa washindi pamoja na kuwa mizengwe na visa vinafanyika dhidi ya cdm...
Naapa cdm ni washindi KALENGA.
Kalenga ccm wameshikwa mbavu ndiomana wanatumia mabavu naujasusi mkubwa wakudhuruwatu.Kwa namna kampeni zinavokwenda... upepo unaelekea cdm kuwa washindi pamoja na kuwa mizengwe na visa vinafanyika dhidi ya cdm...
Naapa cdm ni washindi KALENGA.
Kwa namna kampeni zinavokwenda... upepo unaelekea cdm kuwa washindi pamoja na kuwa mizengwe na visa vinafanyika dhidi ya cdm...
Naapa cdm ni washindi KALENGA.
Tutegemee nini na hapo unapotoa kiapo chako umekula viroba nane
what does you mean?
what does you mean?
Hiki ni kiingereza feki.
Hiki ni kiingereza feki.