CCM;wakishinda KALENGA najinyonga.

CCM;wakishinda KALENGA najinyonga.

Naona Bavicha wanarusha ngumi hewani tu na viapo vyao.


We waache ila wasikimbie tuu..

Naona wengine wazee wao wanateseka kwa kulala giza vijijini kwa kukosa mafuta ya taa vijana wanachangia Pampers za junior duh laanakum!!!
 
Ha ha ha ... babu hakawii kumdanganyia u-first Lady!

Sijui huwa inakuaje huko faragha maana naona kama amedhoofu hivii....
Halafu anavyowachanganya utadhani hawajawahi kuwa kondoo wake..
 
Naona Bavicha wanarusha ngumi hewani tu na viapo vyao.
1797426_673145792747495_18005571_n.jpg

Huyu ndio kichwa cha maccm kalenga, msanii aliefulia katika tasinia zote, sasa ndio kimbilio la maccc
kalenga kutokana na uhusiano wake na Godfey Mgimwa- na Dokii anamponza, wataumbuka wote
 
Sijui huwa inakuaje huko faragha maana naona kama amedhoofu hivii....
Halafu anavyowachanganya utadhani hawajawahi kuwa kondoo wake..

duh na yule jamaa anaongoza nchi akiwa angani vile imebakia safari ya kwenda mwezini tu imebakiaa tehe tehe waswahili
 
Kwa kuwa ukijinyonga unakufa,mimi arobaini yako ntachangia mbuzi wa kumaliza msiba.-tuombeane huko peponi utakapokuwa.
 
Sijui huwa inakuaje huko faragha maana naona kama amedhoofu hivii....
Halafu anavyowachanganya utadhani hawajawahi kuwa kondoo wake..
Hakuna cha kudhoofu, kwenye yale maswala hakuna mnyonge lusungo .
 
Last edited by a moderator:
Hakuna cha kudhoofu, kwenye yale maswala hakuna mnyonge lusungo .

Mhh mkuu siingii kiundan..
Ha ha ha ila jamaa joho kaivua kimwili..kinafsi na kiroho..

Huwezi amini aliyokua akihubiri kwa waumini kuwa ni dhambi anayatenda Mara 10***
 
Last edited by a moderator:
Hata ikitokea CHADEMA wakiona mwezi kwenye bakuli kwa kushida KALENGA, bado watanzania wanawachora tu! Haiwezekeni CHADEMA kikawa chama cha wananchi walio wengi. CHADEMA ni kikundi kidogo cha wahuni fulani.
 
Back
Top Bottom