CCM;wakishinda KALENGA najinyonga.

CCM;wakishinda KALENGA najinyonga.

chunga na unnachosema wewe....usipojonyonga tukufanye nini....?
 
CCM watapiga counter attack, usijijmini sana...wanawadanganyeni them 2 days b4 wenyewe mtashangaa..
 
Yani we kweli una akili za kitoto kabisa.

Mods hii mada hinapaswa kwenda jukwaa la jokes au chit chat.

Huku ni zaidi ya kuchanganyikiwa.
 
Kumbe ni mtoto wa hapa hapa NGALELO tunaongea lugha moja kabisa, ngoja niendelee kumchombeza, siasa sio uadui lusungo naweza nikarudisha kundini!

Ha ha ha
Kabisa mkuu siasa si uadui chombeza mkuu umtoe katika ulimwengu wa Giza

Atakuelewa tu mkuu si unajua ukubwa dawa?
 
Last edited by a moderator:
Vyama vingine hakuna huko!!! Ccm ccm ccm ccm,chadema chadema! Cuf je¡
 
Bahati nzuri Tunakufaham tutakunyonga wenyewe ina maana huwafaham ccm vizuri au una act?
 
We jiandae kufa ka Vp chimba kabsa kaburi watu wakufukie tu au safisha pa kukjfukia
 
We kweli mpuuzi yaani unaidhurumu nafsi yako kwa mambo ya kipuuzi? kwa upuuzi wako ni bora ufe ili namba ya wapuuzi ipungue ili tubaki na wapuuzi wajanja wachache ambao wamekusababishien muwe wapuuzi huku wenzenu wanakula bata.
 
Ha ha ha
Kabisa mkuu siasa si uadui chombeza mkuu umtoe katika ulimwengu wa Giza

Atakuelewa tu mkuu si unajua ukubwa dawa?

Kweli kabisa kaka, ngoja nipambane! kabla BABU hajashtukia GAME!
 
Naona pamewaka moto wakati unalitaja jina la huyo mlume... abakorakamo njoo umchukue mgeni wa mjusi huku

hivi huyu pimbi abakorakamo yupo mwenye ubongo wa kuku kama msalani na lusungo wanaotoka maeneo ya matejoo au ngarenaro kwa jambazi jumanne mjusi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom