Havizya
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 499
- 702
Hayo ndiyo maisha ya ccm, wote wamekosa maarifa na ufahamu. Wao rushwa ni sehemu ya maisha yao ya kila siku. Ccm imewaharibu sana watanzania, tulifanya uchaguzi mdogo wa kujaza nafasi wa wajumbe wa serekali za mitaa, baada ya uchaguzi cdm ilishinda, cha ajabu wana ccm walioipigia cdm walikuja kudai rushwa kuwa tumeichagua cdm, tupeni fedha. Yote hayo shauri ya mazoea toka ccm. Ccm ni janga la taifa, hawaaminiki tena!