MsakaGamba
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 392
- 141
CCM leo wamefunga shule ya sekondari Msata ili watumie eneo la shule hiyo kwa ajili ya uteuzi wa mgombea ubunge, kwao elimu ya watoto sio muhimu lakini wameona ni muhimu kufanyia zoezi hilo kwenye eneo la shule.
wakati huohuo kuna ugomvi umetokea kwenye chumba cha mgahawa mmoja ambapo baadhi ya wajumbe walioletwa hapo kwa ajili ya chai walianza kurushiana maneno na baadae kushikana mashati kutokana na kupunjana pesa za mgao walizo pewa kama rushwa.
Updates
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Msata ndio wanaotumika kugawa vinywaji kwenye ukumbi huo. Wamevalia uniforms za shule.
wakati huohuo kuna ugomvi umetokea kwenye chumba cha mgahawa mmoja ambapo baadhi ya wajumbe walioletwa hapo kwa ajili ya chai walianza kurushiana maneno na baadae kushikana mashati kutokana na kupunjana pesa za mgao walizo pewa kama rushwa.
Updates
Baadhi ya wanafunzi wa shule ya sekondari Msata ndio wanaotumika kugawa vinywaji kwenye ukumbi huo. Wamevalia uniforms za shule.