Mapi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 6,848
- 2,741
Niko eneo la tukio hapahapa kufuatilia kinacho endelea. Ila ccm mna mfumo wa ajabu sana! hawawajumbe ninao waona hapa karibu wote wameletwa kwa fedha za mwana mfalme!!! kulikuwa na haja ya hizi kura za maoni kweli wakati dogo anabebwa na mfumo mzima wa serikali na chama?
sasa nimekuamini baada ya kuona na mwana JF mwingine kaandika.
hii ni hatari, ila ndivyo nchi yetu ilivyo wala sishangai