mwakaila
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 1,053
- 157
Hayakuhusu, ni CCM ni chama dola
Fikiri tena mkuu
Hayakuhusu, ni CCM ni chama dola
hapo hakuna afisa elimu wa wilaya?
Na CDM wakafunge makanisa yao kama roho zinawauma.
hivi nawe nu BINADAMU!!??
umbea mtupu. Baada ya kuanzisha viwanda vya kutengeneza gongo, sasa chadema wana viwanda vya kutengeneza porojo
ndio atafanyaje!? mbele ya prince unataka arudishwe shule ya kata kuwa mwl wa nidhamu!!???
NCHI NGUMU SANA HII...
umbea mtupu. Baada ya kuanzisha viwanda vya kutengeneza gongo, sasa chadema wana viwanda vya kutengeneza porojo
Mkuu hivi unajua maana ya Mp.um.bavu? Ni mtu anaye faanya jambo isivyo huku akijua sawia kufanya itakiwavyo, hivyo basi huoni wewe unaangukia kwenye up.umba.vu kwa kucoment wakiti hukutaka kufanya hivyo?
Kumbe ni huko Chalinze! Watoto watakuwa wamefurahi sana kupata likizo.... Japo sio fair kbs
Hivi ndani ya CCM amekosekana mwenye busara kidogo tu walau kama punje ya ulezi???Hivi kweli watoto waache shule wasimamie uchaguzi wa chama,ni haki kweli?Msajili wa vyama yuko wapi?CCM mlaaniwe,na anayewasapoti naye alaaniwe!!Kweli kwa mtaji huu tusubiri division ten!Mbona Kinondoni wasiwe wanaenda International School of Tanganyika wakafanyie uchaguzi wao!
Aliyeamulu leo watoto wasiingie madarasani ili kufanya shughuli za uchaguzi wa chama,alaaniwe!
Inafaa ukapinwe akili!Na CDM wakafunge makanisa yao kama roho zinawauma.
Kwa mfumo wa utawala wa nchi yetu, Kushindwa kwa Riz-1, ni next to impossible!Ha ha ha haaaaaaaaaaa. Ndiko anakotoka raisi wa TZ. Kumbe ndo mambo ya Nchi yanaenda namna hii. Na asiposhindwa rizi-1 nitawashangaa sana ccm.