MARCKO
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 2,258
- 274
ccm inakufa polepole lakini kwa uhakika.*
Arusha watu wengi wao wamesoma na wanaona mbali hasa kwa watoto na wajukuu wao.*
Mikoa mingine HASA DAR ina majuha kibao ambayo yanaangalia maisha ya leo tu,KESHO ITAJIJUA YENYEWE.
Kaka ubaya wa Dar nikwamba hakuna mwenye uchungu napo..... hata baadhi ya wazawa kama Wazaramo na wengine wamesogea na kuachia Dar kuchukuliwa na wahuni wanaoangalia " simu ilopo kwenye soko sasahivi ni simu gani"
Hawana akili za hata juma lijalo , licha ya miaka ijayo.