Maamuzi yepi hayo ya wapiga kura ambayo hayaheshimiki?? Kama kweli CHADEMA wanadhulumiwa kwenye sanduku la kura kama wanavyodai mbele ya vyombo vya habari kwanini wasipeleke ushahidi wao kwenye vyombo vya kisheria(mahakamani) ili watu wote waone kuwa madai yao ni ya msingi????Mzee sasa kama wanashirik chaguzi na maamuzi ya wapiga kura hamtaki kuheshimu unataka wafanyaje
Sio kujipachika sasa,kama hauna mshindani lazima uwe mshindi sio kwamba ukisusia utawatikisa,tena wanashinda bila kutumia nguvu nyingi kiulaini bila pressureUamuzi wa kishujaa na kizalendo wa kususia chaguzi zote ndogo umeanza kuwachoma ccm baada ya uchaguzi wa udiwani wa kata za Hamgembe na Kagondo mjini Bukoba kukosa washindani wa kuisindikiza ccm hivyo kujikuta wapo pekee yao kama wanafanya kikao cha familia.Hongera sana cdm kwa uamuzi wa kizalendo.wagombea wa ccm ni Anatory Amani na Mhaji Kachwamba sasa wanajipachika udiwani kwa mtindo wa chama kimoja hapa giza kule mtuView attachment 874692View attachment 874693
Wacha kujiliwaza wewe huna akili zaidi ya watu wa cdm,huko kote unakozunguka tulishapitaMaamuzi yepi hayo ya wapiga kura ambayo hayaheshimiki?? Kama kweli CHADEMA wanadhulumiwa kwenye sanduku la kura kama wanavyodai mbele ya vyombo vya habari kwanini wasipeleke ushahidi wao kwenye vyombo vya kisheria(mahakamani) ili watu wote waone kuwa madai yao ni ya msingi????
Ukweli ni kwamba CHADEMA hawawezi kwenda mahakamani sababu hawana ushahidi wowote ule wa kudhulumiwa. Huku kulia lia kwa CHADEMA mbele ya vyombo vya habari kila yanapotolewa matokeo ya uchaguzi ni mbinu dhaifu sana ya kutafuta "sympathy" (huruma) kutoka kwa wananchi na jamii ya kimataifa.
Kama huna ushahidi wa hayo madai yako, hizo ni porojo tu na hakuna mtu makini atakayewaelewa kwa kusikiliza "porojo".Bali kupiga kura ktk mazingira ya mtutu wa bunduki, kuteswa na hats kuuawa kwa wasio na hatia na kuibiwa kura ki mabavu ya dola ndiyo faida?
Hata kwa Nyalandu walisusia chaguzi zilizofuata wakashiriki. Watakuja tu, na kiama chao ni 2020. Chama kitakapopata ruzuku sh 500,000 watapata akili.Tatizo ni kwamba CHADEMA hawajifunzi kutokana na historia, chama cha CUF kilisusia uchaguzi wa marudio kule Zanzibar, baada ya hapo CUF wakaanza kusambaratika na sasa hivi wamebakia hoi bin taaban.
Yale yale yaliyoikumba CUF ndiyo hayo hayo yatatokea kwa CHADEMA tena ukijumlisha na huku kukimbiwa kwa Wanachama wake, ndio kabisa ni kama kuongeza "petroli" kwenye moto unaowaka. Mkuu Mmawia mark my words, this is the begging of the end of CHADEMA in Tanzania politics.
Off-course yes, kufa kwa CHADEMA kisiasa ni "sherehe" kwa CCM na hilo halina ubishi.Ndiyo itakuwa sikukuu kwa ccm
Hayo yote ni mapito na lazima ujue kuwa ili mbegu iote ni lazima ioze