CCM waanza kuonja makali ya CHADEMA

CCM waanza kuonja makali ya CHADEMA

Hapo joto ya jiwe ipi sasa wakati udiwani wanachukua? Mtanyooka tu awamu hii...
Mwaka wa tatu unaisha bado mnakomaa "mtanyooka" navyoona nyie ndiyo mnanyooka. Itafika hadi 2020 bado mnakomaa "mtanyooka"
 
Mwaka wa tatu unaisha bado mnakomaa "mtanyooka" navyoona nyie ndiyo mnanyooka. Itafika hadi 2020 bado mnakomaa "mtanyooka"
Huoni ndg zako mpaka wamesusia chaguzi ndiyo kunyooka huko!!
 
Hayo ni mawazo ya walio changanyikiwa na wanao jidanganya kuwa wanapendwa na kwa taarifa yako cdm inapendwa na mamilioni ya watanzania na huo uamuzi ni wa wananchi
Demokrasia bado inasema wananchi wanaopiga kura ndio wanasimamisha serikali, so labda huu mgomo unaelekea kuupa ushindi wa 100% CCM hapo 2020
 
Chadema wakisusia uchaguzi bado kuna vyama vingine vya upinzani vitasimamisha wagombea nao watapata kura km asilimia 2 hivi ya kura zote zilizopigwa, na Chadema hata wasiposimamisha kiongozi wao sio lazima maana watakao orodheshwa kwenye karatasi ya kuchagua viongozi hawatakwepo tu, haitasababisha kitu chochote, otherwise iwe declared kuwa uchaguzi hautaendelea hadi vyama vyote visimamishe viongozi
 
Chadema wakisusia uchaguzi bado kuna vyama vingine vya upinzani vitasimamisha wagombea nao watapata kura km asilimia 2 hivi ya kura zote zilizopigwa, na Chadema hata wasiposimamisha kiongozi wao sio lazima maana watakao orodheshwa kwenye karatasi ya kuchagua viongozi hawatakwepo tu, haitasababisha kitu chochote, otherwise iwe declared kuwa uchaguzi hautaendelea hadi vyama vyote visimamishe viongozi
Akili ya mtu upimwa kwa kauli zake kama hii ya kwako inaonyesha mambo ya siasa yamekupitia kushoto
 
Akili ya mtu upimwa kwa kauli zake kama hii ya kwako inaonyesha mambo ya siasa yamekupitia kushoto
Wewe mwenye Phd ya siasa hujaielewa bado maana ya demokrasia, nipe kipengele kinachoelezea chama kikisusa uchaguzi basi utaahirishwa, ile juzi balozi wa marekani alitia mdomo kuhusu uchaguzi mkasikia kilichotokea, sasa susieni uchaguzi mle ruzuku zenu fresh hamna kitakachobadilika kwa taifa hili, maana utawala utaingia madarakani na kesho yake watu wanarudi kazini. Mnakuwa km Marehem Mch. Mtikila
 
Ndiyo maana nimekwambia kuwa huku uliko ingia kwako ni mlima mrefu sana kama vipi soma tu uchape rapa
Wewe mwenye Phd ya siasa hujaielewa bado maana ya demokrasia, nipe kipengele kinachoelezea chama kikisusa uchaguzi basi utaahirishwa, ile juzi balozi wa marekani alitia mdomo kuhusu uchaguzi mkasikia kilichotokea, sasa susieni uchaguzi mle ruzuku zenu fresh hamna kitakachobadilika kwa taifa hili, maana utawala utaingia madarakani na kesho yake watu wanarudi kazini. Mnakuwa km Marehem Mch. Mtikila
 
Back
Top Bottom