Lakini hii dhambi ya kuanza kuuza ardhi za nchi yetu inatoka wapi? Why are leaders resorting on such kind of things? Hii ni mbaya sana, tuna rudi kule kule kwenye ukoloni wa kina mangungo wa msowero
Astahili yake huyo Mbaraka Shamte, Mungu hulipa hapahapa duniani. Katukana watu sana huyo mshenzi. Alifika hadi kumtukana baba yake Mzee Mohammed Shamte ( Waziri Mkuu wa kwanza wa Zanzibar) kwa ajili shilingi mbili anazogaiwa na CCM.
Malipo hapahapa duniani akhera kuna hesabu tu.
Kapigisha watu sana bakora. Fitna mkubwa huyo.
Kibao kimemgeuka. Mwache avune alichokipanda.
Uamuzi huu umekuja baada ya Shamte kuzungumza mambo mbalimbali na video yake kusambaa huku moja ya kauli zake ikisema: “Ukitaka utajiri acha uongozi ukafanye biashara, miiko ya uongozi haifuatwi”.
Uamuzi huu umekuja baada ya Shamte kuzungumza mambo mbalimbali na video yake kusambaa huku moja ya kauli zake ikisema: “Ukitaka utajiri acha uongozi ukafanye biashara, miiko ya uongozi haifuatwi”.View attachment 2260253