CCM waaibika Arusha

CCM waaibika Arusha

Chademakwanza

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2014
Posts
6,346
Reaction score
1,872
Kilichotokea leo kwenye msiba wa balozi wa chadema Themi Arusha CCM wameaibika baada ya ndugu wa marihemu kuwakata ccm na kumtambua mweyekiti wa mtaa themi masha shiriki hm.

Godfrey Mushi na Kinabo Diwani Themi Mashariki. CCM wamekimbia na kuvunjika meno katibu wa CCM amepotea na ajulikani alipo.
 
Siasa hadi kwenye shughuli za kijamii haipendezi, kama kweli wamefanya hivyo sio fair kabisa.
 
Kilichotokea lea kwenye msiba wa balozi wa chadema Themi Arusha CCM wameaibika baada ya ndugu wa marihemu kuwakata ccm na kumtambua mweyekiti wa mtaa themi masha shiriki hm.

Godfrey Mushi na Kinabo Diwani Themi Mashariki. CCM wamekimbia na kuvunjika meno katibu wa CCM amepotea na ajulikani alipo.

Mbona unaongea huku unalia?
 

Attachments

  • 1437143575755.jpg
    1437143575755.jpg
    28.2 KB · Views: 1,481
Kilichotokea lea kwenye msiba wa balozi wa chadema Themi Arusha CCM wameaibika baada ya ndugu wa marihemu kuwakata ccm na kumtambua mweyekiti wa mtaa themi masha shiriki hm.

Godfrey Mushi na Kinabo Diwani Themi Mashariki. CCM wamekimbia na kuvunjika meno katibu wa CCM amepotea na ajulikani alipo.

we we
mleta mada ni mvivu wa kufikilia lakini pi huitakii mema Tanzania, hlo ni jambo la kushangilia kama mtu uliepevuka kweli? kua kiakili acha ushabiki usiokua na msingj na hiyo sacoss yako
 
we we
mleta mada ni mvivu wa kufikilia lakini pi huitakii mema Tanzania, hlo ni jambo la kushangilia kama mtu uliepevuka kweli? kua kiakili acha ushabiki usiokua na msingj na hiyo sacoss yako

Uashabiki umewaumbua leo ccm
 
Kwa Arusha, hakuna sehemu CCM wanaweza kufanya siasa zaidi ya kwenye misiba. Sasa kama kwenye msiba mmewafukuza dah! Nawaonea huruma....
 
Kwa Arusha, hakuna sehemu CCM wanaweza kufanya siasa zaidi ya kwenye misiba. Sasa kama kwenye msiba mmewafukuza dah! Nawaonea huruma....

Nasikia wamepigana nafwatilia habari
 
Sometime " you gat to do what you have to do" . .kama CCM wanafanya kufuru katika ufisadi, ni bora kuwatosa hata kwenye shughuli za kijamii , ili wajue Tanzania tumeamkaa!!!
 
Nasikia wamepigana nafwatilia habari

Mkuu hao maccm mngewaacha wakafanya siasa zao kwenye msiba, ila mlitakiwa kuwa makini na chombo cha rambi rambi, hawakawii kukimbia na rambirambi:llama:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom