Mwamba Usemao Kweli
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 744
- 186
Ni Wakati sasa kwa wana ccm kuungana na kuwaonyesha UKAWA kuwa si kila wanachofikiria wao nI sahihi LA hasha. Kama rais ameelezea vema suala LA Escrow kwamba zi pesa za Umma ni kwa nini wao walazimishie?
My take: Tuache utoto hata katika mambo yasiyohitaji elimu ya msingi kuyaelewa.
My take: Tuache utoto hata katika mambo yasiyohitaji elimu ya msingi kuyaelewa.