CCM tuungane kupinga upuuzi wa UKAWA

CCM tuungane kupinga upuuzi wa UKAWA

Kama Raisi kasema pesa za ESCREW si za umma atakuwa hajakosea ila kama hajakwambia kuwa ndani ya account ya ESCREW kulikuwa na fedha ya umma basi atakuwa hajakwambia ukweli ,pengine amekupotosha ,maana watu wengine wakiwapata watu dizaini zenu huwapakia kwa viroba.
 
Jaribuni muone kama mtaweza. Thugs at work.
 
Watu wanaongea wanatokwa na povu utafikiria hawana kazi ya kufanya, ombeni na hela za Tanesco inazoilipa Songas, Aggreco si za wananchi nendeni mkadai.
 
Wengine Kama wamerogwa ungewa hata jamaa yangutuu ningefanya mpango ukapimwe akili kibuyu wrwe
 
Sad sad sad...! Watanzania wekeni maslahi ya nchi mbele. Haya mambo yenu ya CCM na CHADEMA ndio yanazidi kuiharibu nchi, tupiganie nchi yetu as a team...!

Kama kuna adui mmojawapo mkubwa sana ni upuuzi wa wafia vyama masikini wa akili na wabinafsi wakila wao wanasahau kuwa kuna wagonjwa wanahitaji chakula pamoja na dawa!!!

Wanadhani maisha ni kula tu!!!
Disgusting!!!
 
Hebu jaribuni kwanza kuandamana kupongeza hotuba ya JK kama utawala huu utafika Februari 2015
 
Watu wanaongea wanatokwa na povu utafikiria hawana kazi ya kufanya, ombeni na hela za Tanesco inazoilipa Songas, Aggreco si za wananchi nendeni mkadai.

Kumbe unajua differantials au just a mere tongue slip if not a coincidence to mention those??!!

Unajua unachotengeneza hapo??!!!
 
Haa haa waambie wana ccm maslahi wenzako muungane na sio wenye ccm imani kamwe. Kwa mtanzania mzalendo alichofanya jk juzi ni zaidi ya kuvunja katiba aliyoapa kuilinda!
 
Ha ha haa ni wananchi labda na sio hao wasemaji wao na yaweza kuwa sio kelele ni ya kupuuzwa!!!!
Isije kuwa hadithi ya mtoto mchunga mbuzi na chui. . . . .

Ni upuuzi kuendelea kujadili hii kitu, kama ni pesa za umma zinatofauti gani na zinazolipwa Aggreco na Songas? Au IPTL ilikuwa inatoa umeme bure? Kama hawajalipwa umesikia wanaidai Tanesco au serikali? Hao wanasiasa uchwala watawapelekesha sana.
 
Ni Wakati sasa kwa wana ccm kuungana na kuwaonyesha UKAWA kuwa si kila wanachofikiria wao nI sahihi LA hasha. Kama rais ameelezea vema suala LA Escrow kwamba zi pesa za Umma ni kwa nini wao walazimishie?

My take: Tuache utoto hata katika mambo yasiyohitaji elimu ya msingi kuyaelewa.
Ungana na njaa yako wakati watu wametulia na 1.6B
 
Back
Top Bottom