CCM tunaomba 2025 msituletee marais wa kujiokoteza okoteza, huyu wa Kizimkazi asipite hata kwenye top 10 yenu ya mapendekezo

Tareq20

JF-Expert Member
Mar 22, 2017
280
861
Kwakweli Kwa haya tulioyapitia miaka mitatu inatosha sasa
Hatuwalaumu CCM Kwa huyu raisi tulienae kwa sasa lakini mtatukosea sana kama tutasikia huyu Rais ndio mtaempitisha kama mgombea.

Tumechoshwa na mambo yanayoendelea achilia mbali mfumuko wa bei holela, wizi wa mali za umma unaoota mizizi mpaka tunasikia wengine wananua ma apartment Dubai ,Amerika daaah

Hili swala la umeme litoshe kumrudisha huyo bibi kizee kwao akalee wajukuu tu sasa hivi imekuwa ni kawaida kukatiwa umeme siku nzima kila siku bila taarifa yoyote na hajali chochote yeye anawaza kwenda kuzurura nje

Tunaomba mfanye maamuzi magumu kama mliyoyafanya 2015 kateni huyu bibi tuleteeni mtu yeyote lakini sio huyu bibi.

Tumechoka tafadhali naamini kuna watu wachache bado wanajielewa CCM na wamechoshwa na haya yanayoendelea tengenezeni vita kweli kweli huyu bibi aishie hapa hakika mkifanya hivyo mtakua mashujaa na tutawakumbuka daima leteni dude lolote tulijaribu kuliko kuona huyu bibi kizee anarudi hawez kujisimamia Hana uchungu na wananchi, hana kauli, hatumkubali yupo tu anazurura

Leo nimejikuta napandwa na hasira sana unaamka saa kumi unasema kazi ambazo sijazifanya juzi na Jana kwa sababu ya umeme nitajitahidi nizimalizie zote leo unawasha taa kumbe wamekata umeme saa nane sijui daaah.
 
Kero ni kubwa sana, 1961-2024 bado hatuna
1.umeme wa uhakika.
2.maji ya uhakika, nchi ya maziwa makuu
3.huduma za afya za uhakika
4.miundo mbinu bora

Umaskini,Maradhi,Ujinga na sasa Adui mpya Ufisadi
Safi sana - sasa hii uiweke kwenye Ilani ya CHADEMA kwa 2025. Ila sijui ni nani ataipeperusha safari hii - ni mwanaCCM Luhaga Mpinaaaaa au ni silent kada wenu Padri Charles Kitima? Maana CHADEMA kama CHADEMA sioni mtu.
 
Kwakweli Kwa haya tulioyapitia miaka mitatu inatosha sasa
Hatuwalaumu CCM Kwa huyu raisi tulienae kwa sasa lakini mtatukosea sana kama tutasikia huyu rais ndio mtaempitisha kama mgombea tumechoshwa na mambo yanyoendelea achilia mbali mfumuko wa bei holela ,wizi wa mali za umma unaoota mizizi mpaka tunasikia wengine wananua ma apartment Dubai ,Amerika daaah
Hili swala la umeme litoshe kumrudisha huyo bibi kizee kwao akalee wajukuu tu sasa hivi imekua ni kawaida kukatiwa umeme siku nzima kila siku bila taarifa yoyote na hajali chochote yeye anawaza kwenda kuzurura nje
Tunaomba mfanye maamuzi magumu kama mliyoyafanya 2015 kateni huyu bibi tuleteeni mtu yeyote lakini sio huyu bibi
Tumechoka tafadhali naamini kuna watu wachache bado wanajielewa CCM na wamechoshwa na haya yanayoendelea tengenezeni vita kweli kweli huyu bibi aishie hapa hakika mkifanya hivyo mtakua mashujaa na tutawakumbuka daima leteni dude lolote tulijaribu kuliko kuona huyu bibi kizee anarudi hawez kujisimamia Hana uchungu na wananchi,Hana kauli,hatumkubali yupo tu anazurura

Leo nimejikuta napandwa na hasira sana unaamka saa kumi unasema kazi ambazo sijazifanya juzi na Jana kwa sababu ya umeme nitajitahidi nizimalizie zote leo unawasha taa kumbe wamekata umeme saa nane sijui daaah
Tatizo kwenye stoo wamebakiza Mpina tu
 
Form kwa upande wa ccm imeshachapwa nayo ni moja tu, kupita ameshapita, sisi wana ccm tunasubiri kumuapisha tu rais wetu kwa msimu wake wa kwanza kuchaguliwa kiraia 2025-2030, na 2030-2035, atakapomalizia ngwe yake ya pili, kwa sasa ni rais kwa mujibu wa katiba, na sio urais kwa Sisi watanzania kiuchaguzi.
 
Binafsi Uzanzibari wake tuu ni sababu tosha ya kutokubali, haiwezekani Tanganyika tuongozwe na raisi kutoka nchi nyingine kwa kivuli cha muungano usioeleweka,ni vyema rasilimali za Tanganyika zisimamiwe na watanganyika halisi na ziwanufaishe watanganyika ,sio rasilimali za Tanganyika zinufaishe Tanzania nzima kwa kivuli cha muungano uchwara ila rasilimali za zenji(sina uhakika kama wazazi) zibaki kuwanufaisha wazenji wenyewe
 
Kwakweli Kwa haya tulioyapitia miaka mitatu inatosha sasa
Hatuwalaumu CCM Kwa huyu raisi tulienae kwa sasa lakini mtatukosea sana kama tutasikia huyu rais ndio mtaempitisha kama mgombea tumechoshwa na mambo yanyoendelea achilia mbali mfumuko wa bei holela ,wizi wa mali za umma unaoota mizizi mpaka tunasikia wengine wananua ma apartment Dubai ,Amerika daaah
Hili swala la umeme litoshe kumrudisha huyo bibi kizee kwao akalee wajukuu tu sasa hivi imekua ni kawaida kukatiwa umeme siku nzima kila siku bila taarifa yoyote na hajali chochote yeye anawaza kwenda kuzurura nje
Tunaomba mfanye maamuzi magumu kama mliyoyafanya 2015 kateni huyu bibi tuleteeni mtu yeyote lakini sio huyu bibi
Tumechoka tafadhali naamini kuna watu wachache bado wanajielewa CCM na wamechoshwa na haya yanayoendelea tengenezeni vita kweli kweli huyu bibi aishie hapa hakika mkifanya hivyo mtakua mashujaa na tutawakumbuka daima leteni dude lolote tulijaribu kuliko kuona huyu bibi kizee anarudi hawez kujisimamia Hana uchungu na wananchi,Hana kauli,hatumkubali yupo tu anazurura

Leo nimejikuta napandwa na hasira sana unaamka saa kumi unasema kazi ambazo sijazifanya juzi na Jana kwa sababu ya umeme nitajitahidi nizimalizie zote leo unawasha taa kumbe wamekata umeme saa nane sijui daaah
Yaani kukatika umeme hapo mtaani kwako ndio iwe sababu ya kutukana Rais?

Kwamba Kila kukitokea Changamoto yenye genuine reason tuwe tunafukuza Rais si ndio?

Acha utoto basi.
 
Kwakweli Kwa haya tulioyapitia miaka mitatu inatosha sasa
Hatuwalaumu CCM Kwa huyu raisi tulienae kwa sasa lakini mtatukosea sana kama tutasikia huyu rais ndio mtaempitisha kama mgombea tumechoshwa na mambo yanyoendelea achilia mbali mfumuko wa bei holela ,wizi wa mali za umma unaoota mizizi mpaka tunasikia wengine wananua ma apartment Dubai ,Amerika daaah
Hili swala la umeme litoshe kumrudisha huyo bibi kizee kwao akalee wajukuu tu sasa hivi imekua ni kawaida kukatiwa umeme siku nzima kila siku bila taarifa yoyote na hajali chochote yeye anawaza kwenda kuzurura nje
Tunaomba mfanye maamuzi magumu kama mliyoyafanya 2015 kateni huyu bibi tuleteeni mtu yeyote lakini sio huyu bibi
Tumechoka tafadhali naamini kuna watu wachache bado wanajielewa CCM na wamechoshwa na haya yanayoendelea tengenezeni vita kweli kweli huyu bibi aishie hapa hakika mkifanya hivyo mtakua mashujaa na tutawakumbuka daima leteni dude lolote tulijaribu kuliko kuona huyu bibi kizee anarudi hawez kujisimamia Hana uchungu na wananchi,Hana kauli,hatumkubali yupo tu anazurura

Leo nimejikuta napandwa na hasira sana unaamka saa kumi unasema kazi ambazo sijazifanya juzi na Jana kwa sababu ya umeme nitajitahidi nizimalizie zote leo unawasha taa kumbe wamekata umeme saa nane sijui daaah
Siku likiondoka hili jimama nitamwimbia na kumshukru mungu. Hata huwa sijui lilipenya vipi Hadi kushika mdaraka makubwa haya. Silipendi ,silipendi kweli kweli
 
Binafsi Uzanzibari wake tuu ni sababu tosha ya kutokubali, haiwezekani Tanganyika tuongozwe na raisi kutoka nchi nyingine kwa kivuli cha muungano usioeleweka,ni vyema rasilimali za Tanganyika zisimamiwe na watanganyika halisi na ziwanufaishe watanganyika ,sio rasilimali za Tanganyika zinufaishe Tanzania nzima kwa kivuli cha muungano uchwara ila rasilimali za zenji(sina uhakika kama wazazi) zibaki kuwanufaisha wazenji wenyewe
Mkuu hisia zako ziwe sababu ya kwako kuandamana ili katiba mpya ipatikane ya serikali tatu!
 
Back
Top Bottom