rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Yaani ilivyosema 92.8% moja kwa moja nimejua ni cooked story kama za marehemu Tariq Aziz liyewahi kuwa mtu wa propaganda kuwahi kutokea duniani.
Umenikumbusha mbali mkuu! Huyu jamaa yuko wapi siku hizi?