CCM tuna aslimia 92.8% ya ushindi Arumeru east ni zaidi ya ushindi

Tunapenda kutoa taarifa kwa wanachama na wapenzi wote wa CCM nchini Tanzania kuwa chama chetu Tawala tayari kinauhakika wa kuchukua jimbo la Arumeru ki urahisi kabisa baada ya wanaarumeru kuwa na imani zaidi na sera za chama kwani kwa utafiti wa kisayansi tayari tuna ushindi wa zaidi 92.8%. Kampeni zetu zinafanyika kisayansi zaidi kwani zinalenga hasa kundi maalum litakalopiga kura siku ya tarehe moja huku kikosi cha wahamishaji kikifanya kampeni za mtu kwa mtu na kaya kwa kaya.

Endelea kukipa support chama chako tawala kwa maendeleo endelevu ya Tanzania

Kuwa mzalendo kwa kuishangilia na kuipa kura yako daima CCM


Hapo kwenye Red zingatia matumizi ya umoja na wingi tafathali.
 
Back
Top Bottom