Hatimae CCM wameona PH.d wananchi hawazielewi,wameona bora watu dizaini ya Hamisa ndio vichwa makini kabisa vitakavyoongeza viwanda.
Hhahahahahha nimecheka Sana jamani...dah...only in TzHatimae CCM wameona PH.d wananchi hawazielewi,wameona bora watu dizaini ya Hamisa ndio vichwa makini kabisa vitakavyoongeza viwanda.
Akili MBOFU MBOFU ya maccm hivi huyo kuwepo ccm kunawaongezea nini Watanzania ambao wanaona hali ya maisha inazidi kuwa ngumu kila kunapokucha?
Wafanyakazi mwaka wa tano sasa hawajaongezewa mishahara, je, mobeto ataongeza mishahara?
vp hana haki yakuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa?Video inajieleza. Hii ni kazi nzuri ya Bashiru na Polepole
View attachment 1492636
Hawa wanatumika wakati wa kampeniAkili MBOFU MBOFU ya maccm hivi huyo kuwepo ccm kunawaongezea nini Watanzania ambao wanaona hali ya maisha inazidi kuwa ngumu kila kunapokucha?
Wafanyakazi mwaka wa tano sasa hawajaongezewa mishahara, je, mobeto ataongeza mishahara?
Hawa wanatumika wakati wa kampeni
Huyo missa nishawahi kupita nae hana jipya...!
Halafu cha hata jf haijui, kilaza sana huyo na maccm mengine
Video inajieleza. Hii ni kazi nzuri ya Bashiru na PolepoleView attachment 1492636
Hatimae CCM wameona PH.d wananchi hawazielewi,wameona bora watu dizaini ya Hamisa ndio vichwa makini kabisa vitakavyoongeza viwanda.
Usishangae akawa mb
Ova