Nashuhudia mkiweweseka.Leo ndio mnamkumbuka Mwl, tena kwa njia ya kuweweseka kiasi hicho!! Poleni maana kumekucha nanyi bado mko kwenye lepe la usingizi.Watanzania, wamewaacha kama mwanamke mzinzi, mmejaa soni. Mmebaki kuwashikia na kuwaelekezea mitutu ya bunduki na mabomu ya machozi.Hata wakati tunaelewa nchi yetu ni muflisi, jambo mnalolijuwa ni kuongeza magari ya deraya ya polisi ili kuwafunga midomo wananchi, na kununua mitambo ya kijasusi kuwadhibiti wananchi wenu!!
Leo adui wa ccm si ujinga, maradhi na umaskini ila adui mkubwa wa ccm ni wananchi waliowachoka kwa vile mmeshindwa kuongoza na sasa mnataka kutawala. Hatutaki kwa maneno, hatutaki kwa silaha. Sisi ni watu huru.Down with ukoloni mweusi wa ccm.
Kumekucha!!
Unakiri kwamba CDM inaweza kushika uongozi wa nchi.Wananchi wanajuwa hilo hata bila ya nyinyi kukubali.Lakini, acheni kuwapangia CDM sera, siyo kazi yenu.Ondokeni salama. Tanzania itasimama tena.
Wakati anafariki London, Mwl alisema "Najuwa nitakufa,Watanzania mtanililia sana, lakini naenda kuwaombea" Haijawahi kutokea mtu akayasema haya akaribiapo kufa.
Kwa vile hamkujuwa Mwl mmefika hapo mlipo,kurarurana hadharani kama mbwa mwitu. La ajabu mnakwenda kaburini kwake sijui kutambika? Mwl alikuwa mcha Mungu.Hakuna kujikosoa, maana mmechafuka mno.Magamba you are cursed!!! Mlipowapokea waliolaaniwa na Mwl leo yamewafika. Yule aliyelaaniwa na MWL ndiye chanzo cha kuanguka ccm.Mlifikiri mna hekima na busara kuliko Mwl haya sasa jiokoeni tuwaone. Kwishnei!
Kwa heri ya kuonana mwaka 2015.
Leo adui wa ccm si ujinga, maradhi na umaskini ila adui mkubwa wa ccm ni wananchi waliowachoka kwa vile mmeshindwa kuongoza na sasa mnataka kutawala. Hatutaki kwa maneno, hatutaki kwa silaha. Sisi ni watu huru.Down with ukoloni mweusi wa ccm.
Kumekucha!!
Unakiri kwamba CDM inaweza kushika uongozi wa nchi.Wananchi wanajuwa hilo hata bila ya nyinyi kukubali.Lakini, acheni kuwapangia CDM sera, siyo kazi yenu.Ondokeni salama. Tanzania itasimama tena.
Wakati anafariki London, Mwl alisema "Najuwa nitakufa,Watanzania mtanililia sana, lakini naenda kuwaombea" Haijawahi kutokea mtu akayasema haya akaribiapo kufa.
Kwa vile hamkujuwa Mwl mmefika hapo mlipo,kurarurana hadharani kama mbwa mwitu. La ajabu mnakwenda kaburini kwake sijui kutambika? Mwl alikuwa mcha Mungu.Hakuna kujikosoa, maana mmechafuka mno.Magamba you are cursed!!! Mlipowapokea waliolaaniwa na Mwl leo yamewafika. Yule aliyelaaniwa na MWL ndiye chanzo cha kuanguka ccm.Mlifikiri mna hekima na busara kuliko Mwl haya sasa jiokoeni tuwaone. Kwishnei!
Kwa heri ya kuonana mwaka 2015.